Aggrey Mwanri: Jembe lililoachwa kimakosa kwenye Baraza la Mawaziri

Aggrey Mwanri: Jembe lililoachwa kimakosa kwenye Baraza la Mawaziri

Mleta mada umeharibu sana baada ya kuwaponda waliopo kwenye cabinet kwa sasa (hasa vijana) kuwa wana uwezo mdogo.

Uongozi ni uzoefu. Kubali kujisahihisha na kusahihishwa. Hakuna aliyezaliwa kiongozi.

Huu ni muda wa vijana kuaminiwa sio sura zilezile lila siku. Vijana wameshajifunza kwa wazee ni muda sasa wa kuaminiwa na kupewa nafasi. Wanapokosea wakubali kusahihishwa na kujisahihisha.
Kama wanauwezo wa kuongoza tusingekuwa tunasikia wananchi wanalia kila siku juu ya kero zao. Lakini Mwanri alikuwa Tabora na amepanyoosha.
 
Kama wanauwezo wa kuongoza tusingekuwa tunasikia wananchi wanalia kila siku juu ya kero zao. Lakini Mwanri alikuwa Tabora na amepanyoosha.
Kama ameshapanyoosha inatosha. Watanzania tupo wengi wenye uwezo wa kuongoza sio kila siku tuwapigie promo wale wale.
 

Kila mtanzania anamkubali Agrey Mwanri kuwa ni jembe na mchapa kazi. Anajua kuongoza, anajua kuwajibika.

Lakini kwanini kiongozi kama huyu hakupata uteuzi ili aweke mambo sawa kwa manufaa ya umma? Je, kuna tatizo kwa washauri wa rais JPM?

Mbona tuna ona watu ambao uwezo wao wa kuongoza ni mdogo na wanaingia kwenye Cabinet?

Hao wanaomshauri Rais wanakula pesa za bure za walipa kodi? Kwanini mtu kama Mwanri awe benchi, alafu watafuta kick za kwenye Tv ndio wanakula uteuzi?
"Kila mtanzania " nimeachia apo kusoma
 

Kila mtanzania anamkubali Agrey Mwanri kuwa ni jembe na mchapa kazi. Anajua kuongoza, anajua kuwajibika.

Lakini kwanini kiongozi kama huyu hakupata uteuzi ili aweke mambo sawa kwa manufaa ya umma? Je, kuna tatizo kwa washauri wa rais JPM?

Mbona tuna ona watu ambao uwezo wao wa kuongoza ni mdogo na wanaingia kwenye Cabinet?

Hao wanaomshauri Rais wanakula pesa za bure za walipa kodi? Kwanini mtu kama Mwanri awe benchi, alafu watafuta kick za kwenye Tv ndio wanakula uteuzi?
Amekulipa bei gani?
 
Tuacheni chuki jamani,Mwanri huwezi kulinganisha utendaji wake na vijana wengi tu waliopo kwenye Cabinet.

Huu ndio ukweli!
Vijamaa vya juzi ambavyo havimjui huyu mzee naona vinajiandikia tu!
 
Mleta mada umetumwa kuja kumpigia debe ili akunbukwe enhee sawa mzee baba atamkumbuka tu mwambie asiwe na maneno mengi
 
Back
Top Bottom