Kama wanauwezo wa kuongoza tusingekuwa tunasikia wananchi wanalia kila siku juu ya kero zao. Lakini Mwanri alikuwa Tabora na amepanyoosha.Mleta mada umeharibu sana baada ya kuwaponda waliopo kwenye cabinet kwa sasa (hasa vijana) kuwa wana uwezo mdogo.
Uongozi ni uzoefu. Kubali kujisahihisha na kusahihishwa. Hakuna aliyezaliwa kiongozi.
Huu ni muda wa vijana kuaminiwa sio sura zilezile lila siku. Vijana wameshajifunza kwa wazee ni muda sasa wa kuaminiwa na kupewa nafasi. Wanapokosea wakubali kusahihishwa na kujisahihisha.
Kama ameshapanyoosha inatosha. Watanzania tupo wengi wenye uwezo wa kuongoza sio kila siku tuwapigie promo wale wale.Kama wanauwezo wa kuongoza tusingekuwa tunasikia wananchi wanalia kila siku juu ya kero zao. Lakini Mwanri alikuwa Tabora na amepanyoosha.
"Kila mtanzania " nimeachia apo kusoma
Kila mtanzania anamkubali Agrey Mwanri kuwa ni jembe na mchapa kazi. Anajua kuongoza, anajua kuwajibika.
Lakini kwanini kiongozi kama huyu hakupata uteuzi ili aweke mambo sawa kwa manufaa ya umma? Je, kuna tatizo kwa washauri wa rais JPM?
Mbona tuna ona watu ambao uwezo wao wa kuongoza ni mdogo na wanaingia kwenye Cabinet?
Hao wanaomshauri Rais wanakula pesa za bure za walipa kodi? Kwanini mtu kama Mwanri awe benchi, alafu watafuta kick za kwenye Tv ndio wanakula uteuzi?
Matusi ya nini sasa?Wewe ni mpumbavu.
Amekulipa bei gani?
Kila mtanzania anamkubali Agrey Mwanri kuwa ni jembe na mchapa kazi. Anajua kuongoza, anajua kuwajibika.
Lakini kwanini kiongozi kama huyu hakupata uteuzi ili aweke mambo sawa kwa manufaa ya umma? Je, kuna tatizo kwa washauri wa rais JPM?
Mbona tuna ona watu ambao uwezo wao wa kuongoza ni mdogo na wanaingia kwenye Cabinet?
Hao wanaomshauri Rais wanakula pesa za bure za walipa kodi? Kwanini mtu kama Mwanri awe benchi, alafu watafuta kick za kwenye Tv ndio wanakula uteuzi?
Tuacheni chuki jamani,Mwanri huwezi kulinganisha utendaji wake na vijana wengi tu waliopo kwenye Cabinet.