Phone4Sale Agiza simu used Grade A (Refurblished phone) kutoka Dubai kwa bei za jumla

Ninaposema samsung zenye dot zinakuwa ni hizi dot ndogo sana

Tena unakuta zipo pembeni
Hii ni s21 plus
Ram 8gb
Storage 128gb
550,000 Tu
Your browser is not able to display this video.

S10 = 300,000
S10 PLUS = 320,000
S20 = 380,000
S20 PLUS = 440,000
S20 ULTRA = 480,000
S21 ULTRA = 680,000
 
Mkuu, macbook air ya 2013, 2014 au 2015 hivi bei gani? Nimechagua miaka hiyo ili bei iwe kitonga. Isiwe na changamoto ya kiufundi.
 
Mkuu kwema naomba nitafutie huawei g2 smart watch used kiasi gani na mpya kiasi gani
 
Mkali naulizia lenovo thinkstation p520 ram kuanzia 16,storage 500-1tb hdd/ssd Bei gani?
 
Hongera sana Mkuu, sasa nadhani wale waliokuwa wanamletea uchawi kijana mwenzao mpambanaji wataanza kuelewa kidogokidogo kwamba rohombaya haileti faida.
 
ZIMEBAKI 5 TU ZA OFFA
RAM 4GB STORAGE 64GB
SAMSUNG S8 KWA 220,000 TU

whatsapp +971582640133

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…