Phone4Sale Agiza simu used Grade A (Refurblished phone) kutoka Dubai kwa bei za jumla

Phone4Sale Agiza simu used Grade A (Refurblished phone) kutoka Dubai kwa bei za jumla

Biashara nzuri ila hiyo ya kulipia cash yote daaa hatari sana.

Majuzi hapo nilimlipa 3/4 malipo ya goods niliyotaka but nilikuwa na mashaka sana japo naonana naye ila after 28days nilipata ila yataka moyo sana yaani.

Kikuu tunawatumia kwa sababu wana ofisi na agents mikoa kadhaa so tunawalipa pesa yote au hata kurudisha kukiwa na mistake wanarudisha.
 
Samahani kwa kuingilia uzi wako mkuu.

simu tajwa apo juu [Oppo, Vivo, iPhone, Samsung, na Sony] zinapatikana Dukani kwetu kwa bei iyoiyo.

Utofauti tu ni kuwa sisi hatufanyi delivery nje ya Dar unless iwe ni kwa makubaliano maalum..

Tupo kariakoo mtaa wa Aggrey jengo la china plaza floor ya pili📍

0676721372 ☎️
 

Attachments

  • Screenshot_20230628_091513.jpg
    Screenshot_20230628_091513.jpg
    206.1 KB · Views: 31
Samahani kwa kuingilia uzi wako mkuu.

simu tajwa apo juu [Oppo, Vivo, iPhone, Samsung, na Sony] zinapatikana Dukani kwetu kwa bei iyoiyo.

Utofauti tu ni kuwa sisi hatufanyi delivery nje ya Dar unless iwe ni kwa makubaliano maalum..

Tupo kariakoo mtaa wa Aggrey jengo la china plaza floor ya pili📍

0676721373 ☎️
Kwahy naweza kupata samsung s21 kwa 600k.?
 
Back
Top Bottom