t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Samsung ikizingua kioo cha amoled uamuzi wa busara ni kununua simu nyingine . kuitengeneza ni matumizi mabaya sana ya pesa.Juzi nimebadili kioo cha Ultra yangu leo naona bei ya kioo inalingana na simu sh*t.... ulikuwa wapi muda wote huo nahangaika..?