Phone4Sale Agiza simu used Grade A (Refurblished phone) kutoka Dubai kwa bei za jumla

Phone4Sale Agiza simu used Grade A (Refurblished phone) kutoka Dubai kwa bei za jumla

MKEKA MPYA WA GOOGLE PIXEL
3a 64gb = 270,000
4 64gb = 300,000
4a 128gb = 290,000
4 xl 64gb = 370,000
4 xl 128gb = 400,000
5 128gb = 370,000
5a 128gb = 400,000

Whatsapp: +971582640133 (Dubai)
Ofisi Dar : 0654156671
 
Huduma bado zinaendela
Tunajua Dollar imepanda
Vivyo hivyo Dirham ya mwarabu pia imepanda
ILA BEI ZETU ZITAENDELEA KUBAKI VILE VILE
 
Huduma bado zinaendela
Tunajua Dollar imepanda
Vivyo hivyo Dirham ya mwarabu pia imepanda
ILA BEI ZETU ZITAENDELEA KUBAKI VILE VILE
 
But why mfanyabiashara ujitape una account nyingi JF?

Kwa nini unaanza kujitengenezea mazingira ya Mashaka wewe mwenyewe?

Kama biashara yako ni genuine si ukaushe tu uache watu watoe maoni yao na wewe upambane na biashara yako?

Kutengeneza trust siyo kitu cha siku moja hasa kwenye huu ulimwengu uliojaa utapeli, watu wana majeraha ya kuliwa pesa zao, Hivyo ignore the negativity na uweke Sawa mazingira yako with time utaeleweka tu.

Kuna dada anaitwa panda Sourcing alianza kupost huku anaagizisha vitu kutoka China, negative comments zilikua nyingi.. ila alikua na uhakika na biashara yake .. akaweka nguvu huko.
Leo anawatu wengi tu wanaomwamin.
Huyo panda sourcing yupo kam ckosei sinza au kinondoni
 
GAMING PC MOJA KWA MOJA KUTOKA DUBAI
🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪
MSI GS65
core i7 8t generation
ram 32gb storage 1Tb SSD
8gb gtx NVIDIA
RGB Light keyboard
1,500,000
Whatsapp :+971582640133
🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪
View attachment 2720677View attachment 2720678View attachment 2720680View attachment 2720681
Gtx 1040/1050/1060/1650 au n ipi mkali?
 
Nilitaka kujilipua Ila nimetafuta shuhuda nikakutana na shuhuda ya kuwa na account 5 JF. Hakika ni unyama sana
MINYAMA MPAKA INAMWAGIKAA
Kama una mashaka usijaribu kuagiza

Wateja wenye mashaka akishatuma hrla atakupigia kila baada ya lisaa simu umepata embu nipigie picha niione...vipi umeisafirisha..

hiv sasa imefika wapi..

anataka ajue hadi anga ambalo simu ipo..
kama ipo anga la somalia ndo inakuja au ishaingia anga la kenyaa😂😂😂😂😂😂
 
Wajinga ni wengi ila mtoa mada upo safi wakituma we wapige tu na sasahiv serikal haiwez kukwambia chochote
daahh boss hali ngumu sio vyema kurudishana nyumaa

Tutafute vyanzo halali vya mapato yetu 😁😁😁😁
 
🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪
SAMSUNG S10 5G
RAM 8GB
STORAGE 256
BEI 450,000

KUTOKA DUBAI MOJA KWA MOJA KIGANJANI MWAKO
whatsapp +971582640133
🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪
 
Napenda kutoa taarifa.
Leo tarehe 11-8-2023 ijumaha nimetoka manzese Argentina kufanya malipo ya simu Google pixel 5 GB 128 used like new quality ni A++.
Nimefika mpk ofisini/nyumbani kwao na kukutana na ndugu yake Mr. Yusuph. Ndio kapokea pesa kwa niaba ya huyu ndugu yetu alioko DUBAI.
Hivi sasa nasubilia simu tajwa hapo juu mpk next week ndio itakua imefika tanganyika.
Naomba kuwasilisha.
Asante.
Naomba tuwe na uvumilivu. Jambo jema halitaki haraka.
Asanteni
 
HIZI NI BEI KUTOKA DUBAI MOJA KWA MOJA

Unaweza Agiza Hata kwa simu 1

IPHONE


iphone 6-16gb = 160,000

iphone 6-32gb = 180,000

iphone 6-64gb = 200,000

iphone 7 128gb = 280,000

iphone 7 PLUS 128gb = 380,000

iphone 8 64gb = 360,000

iphone 8 256gb = 420,000

iphone 8 PLUS 64gb = 480,000

iphone 8 PLUS 256gb = 530,000

iphone X 64gb = 530,000

iphone X 256gb = 590,000

iphone XS 256gb = 670,000

iphone XR 64gb = 580,000

iphone XR 128gb = 630,000

iphone XS MAX 256gb =790,000

iphone 11 64gb = 760,000

iphone 11 128gb = 850,000

iphone 11 PRO 256gb = 1,050,000

iphone 11 PRO MAX 256gb = 1,120,000

iphone 12 pro 128gb = 1,300,000

iphone 12 PRO 256gb = 1,500,000

iphone 12 PRO MAX 256gb = 1,700,000

iphone 13 PRO MAX 256gb = 2,450,000

iphone 13-128gb = 1,550,000

iphone 13 pro 256gb = 2,150,000

SAMSUNG

J7 PRIME ram 3 / 16gb = 150,000

J7 PRIME 2 ram 3 / 32gb = 170,000

A10E ram 3 / 32gb = 170,000

A20 ram 3 / 32gb = 190,000

A50 2sim = 240,000

A12 ram 3/32gb = 230,000

A21S ram3/32gb = 250,000

A31 ram4/128gb = 250,000

A32 ram 4/128gb = 270,000

A750 ram 4/64gb = 230,000

A51 256gb = 350,000

A51 4g 2sim = 310,000

A9 PRO ram 6/128 gb = 280,000

A90 5G ram 6/128 gb = 320,000

A82 ram 4/128 gb = 510,000

A23 5g ram 4/128 gb = 380,000

M23 ram 4/128 gb = 350,000

A22 5g ram 4/128 gb = 330,000

S7 EDGE ram 4/32 gb 2sim = 200,000

S8 ram 4/64gb = 260,000

S8 PLUS ram 4/64gb = 300,000

S9 ram 4/64gb = 280,000

S9 PLUS ram 6/64gb = 320,000

S10 ram 8/128gb = 410,000

S10E ram 6/128gb = 290,000

S10 PLUS ram 8/128gb = 490,000

S10 5G ram 8/256gb = 520,000

S20 ram 12/128gb = 440,000

S20 PLUS ram 12/128gb = 480,000

S20 ULTRA ram 12/128gb = 590,000

S21 ram ram 8/128gb = 640,000

S21 PLUS ram 8/128gb = 670,000

S21 ULTRA ram 12/128gb = 950,000

S21 ULTRA ram 12/256gb = 1,150,000

S22 ULTRA 256gb = 1,650,000

S22 ultra 128gb = 1,550,000

SAMSUNG NOTE

NOTE 8 ram 6/64gb = 330,000

Note8 2sim = 350,000

NOTE 9 ram 6/128gb = 380,000

N9 1sim = 380,000

NOTE 10 256gb = 480,000

NOTE 10 PLUS 12/256gb = 610,000

NOTE 20 ram 12/128gb = 540,000

NOTE 20 ULTRA ram 12/256gb = 1,150,000

NOTE 20 ULTRA ram 12/128gb = 900,000

DOT PHONES

(SAMSUNG ZENYE VIDOT VIDOGO VYEUSI KWENYE KIOO ILA ZINAFANYA KAZI VIZURI TU )

S8 = 170,000

S8 PLUS = 210,000

S9 = 240,000

S9 PLUS = 270,000

S10 5G = 410,000

S10E = 280,000

S10 = 300,000

S10 PLUS = 320,000

S20 = 380,000

S20 PLUS = 440,000

S20 ULTRA = 480,000

S21 ULTRA = 680,000

NOTE 8 = 280,000

NOTE 9 = 330,000

NOTE 10 = 380,000

NOTE 10 PLUS = 480,000

NOTE 20 ULTRA = 650,000

GOOGLE PIXEL
pixel 3A 64GB - 250,000

pixel 3XL 64GB - 290,000

pixel 3XL 128GB - 320,000

pixel 4 128GB - 350,000

pixel 4A 128GB - 390,000

pixel 4A 5g 128GB - 390,000

pixel 4XL 64GB - 390,000

pixel 4XL 128GB - 440,000

pixel 5 128GB - 450,000

pixel 5A 128GB - 500,000

pixel 6 128GB - 690,000

pixel 6A 128GB - 720,000

pixel 6A PRO 128GB - 950,000
VIVO

VIVO Y17 ram 6/128gb = 200,000

VIVO Y19 ram 6/256gb = 250,000

VIVO Y20S ram 6/128gb = 280,000

VIVO Y21S ram 6/128gb = 280,000

VIVO Y67 ram 4/128gb = 120,000

VIVO Y85 ram 4/128gb = 120,000

VIVO Y93 ram 6/128gb = 140,000

HUWAEI

HUAWEI Y8s ram 4/128gb = 240,000

HUAWEI Y7 PRO ram 4/64gb = 190,000

HUAWEI P30 LITE ram 4/128gb = 280,000

HUAWEI P20 LITE ram 4/128gb = 2200,000

HUAWEI P10 LITE ram 4/64gb = 160,000

HUAWEI NOVA 3i ram 6/128gb = 230,000

HUAWEI NOVA 2 PLUS ram 4/128gb = 200,000

OPPO

OPPO A57 = 100,000

OPPO F1S = 100,000

OPPO F11 ram 4/128gb = 230,000

F9 PRO ram 6/128gb = 190,000

Oppo A83 ram 6/128gb = 120,000

SONY

XZ1 COMPACT ram 4/32gb = 110,000

XZS ram 4/32gb = 130,000

XZ ram 3/32 gb = 120,000

XPERIA 8 ram 4/64gb = 190,000

Z1 COMPACT ram 4/32gb = 120,000

X PERFORMANCE ram 3/32gb = 110,000

XZ2 ram 4/64gb = 180,000

XZ PREMIUM ram 4/64gb = 170,000

XZ3 ram 4/64gb = 210,000

KWA MAWASILIANO ZAIDI YA JUU YA NAMNA YA KULIPIA NA KUPOKEA MZIGO WAKO

WHATSAPP +971 58 2640133
CALL/SMS 0654 156671 (Agent aliyepo Dar es Salaam)
Ofisi kwa watu wa KILIMANJARO, Arusha na Manyara
0678984009


SIMU TUNASAFIRISHA KWA NJIA YA NDEGE NDANI YA SIKU 3-5 TU USHAPATA SIMU YAKO
NITAKUAGIZIA KWA UAMINIFU MKUBWA

Kwa wanaohitaji laptop na ipad..nitaleta mkeka wa bei zake soon...
Ila unaweza kuulizia bei ya kifaa chochote nikakupatia.. (ELECTRONIC DEVICE TU)

Bei za Laptop Moja kwa Moja kutoka Dubai tembea uzi wangu huu hapa
Gari mtumba(used), nguo mtumba(used), simu mtumba(used).
Watanzania muombeni Mungu sana!
 
Back
Top Bottom