Phone4Sale Agiza simu used Grade A (Refurblished phone) kutoka Dubai kwa bei za jumla

Phone4Sale Agiza simu used Grade A (Refurblished phone) kutoka Dubai kwa bei za jumla

Naweza upgrade toka iPhone 11 kwenda 12,iliopo nimpya kabisa ila mwenyewe anataka apate 5g pia.
 
Mkuu cheki iyo nipe na full specifications zake utakayopata
HP ELITE BOOK 840 G6
 
Mkuu cheki iyo nipe na full specifications zake utakayopata
HP ELITE BOOK 840 G6
HP EliteBook 840 G6 Core i7-8th Generation
16GB RAM | 256GB SSD |
14.1 inch Non-Touch Display
BEI 650,000 (FIXED)
whatsapp +971582640133
 
🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪
Note 20 ultra
ram 12 storage 256
used kutoka dubai
Clean grade A++
Bei 950,000
whatsapp: +971582640133
🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪
IMG_20230910_142520.jpg
IMG_20230910_142529.jpg
IMG_20230910_142538.jpg
 
🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪
S20 ultra
ram 12gb storage 128gb
used kutoka dubai
Clean grade A++
Bei 520,000
whatsapp: +971582640133
🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪
IMG_20230910_142147.jpg
IMG_20230910_142205.jpg
IMG_20230910_142226.jpg
 
HIZI NI BEI KUTOKA DUBAI MOJA KWA MOJA (UPDATED 06-09-2023)

IPHONE
iphone 6-64gb = 180,000
iphone 7 128gb = 250,000
iphone 7 PLUS 128gb = 320,000
iphone 8 64gb = 320,000
iphone 8 256gb = 370,000
iphone 8 PLUS 64gb = 420,000
iphone 8 PLUS 256gb = 480,000
iphone X 64gb = 500,000
iphone X 256gb = 540,000
iphone XS 256gb = 600,000
iphone XR 64gb = 520,000
iphone XR 128gb = 580,000
iphone XS MAX 256gb =700,000
iphone 11 64gb = 700,000
iphone 11 128gb = 780,000
iphone 11 PRO 256gb = 950,000
iphone 11 PRO MAX 256gb = 1,050,000
iphone 12 pro 128gb = 1,100,000
iphone 12 PRO 256gb = 1,300,000
iphone 12 PRO MAX 256gb = 1,500,000
SAMSUNG
A31 ram4/128gb = 210,000
A32 ram 4/128gb = 240,000
A51 256gb = 350,000
A51 4g 2sim = 310,000
A9 PRO ram 6/128 gb = 280,000
A90 5G ram 6/128 gb = 320,000
A82 ram 4/128 gb = 510,000
A23 5g ram 4/128 gb = 320,000
M23 ram 4/128 gb = 300,000
A22 5g ram 4/128 gb = 290,000
S8 ram 4/64gb = 210,000
S8 PLUS ram 4/64gb = 250,000
S9 ram 4/64gb = 270,000
S9 PLUS ram 6/64gb = 300,000
S10 ram 8/128gb = 390,000
S10 PLUS ram 8/128gb = 440,000
S10 5G ram 8/256gb = 490,000
S20 ram 12/128gb = 440,000
S20 PLUS ram 12/128gb = 480,000
S20 ULTRA ram 12/128gb = 520,000
S21 ram 8/128gb = 590,000
S21 PLUS ram 8/128gb = 620,000
S21 ULTRA ram 12/128gb = 900,000
S21 ULTRA ram 12/256gb = 1,000,000
S22 ultra 128gb = 1,400,000
S22 ULTRA 256gb = 1,500,000

SAMSUNG NOTE
NOTE 8 ram 6/64gb = 280,000
Note8 2sim = 300,000
NOTE 9 ram 6/128gb = 330,000
NOTE 10 256gb = 430,000
NOTE 10 PLUS 12/256gb = 560,000
NOTE 20 ram 12/128gb = 490,000
NOTE 20 ULTRA ram 12/128gb = 800,000
NOTE 20 ULTRA ram 12/256gb = 950,000

DOT PHONES
(SAMSUNG ZENYE VIDOT VIDOGO VYEUSI KWENYE KIOO ILA ZINAFANYA KAZI VIZURI TU )
S10 5G = 410,000
S10E = 280,000
S10 = 300,000
S10 PLUS = 320,000
S20 = 380,000
S20 PLUS = 440,000
S20 ULTRA = 480,000
S21 ULTRA = 680,000
NOTE 8 = 280,000
NOTE 9 = 330,000
NOTE 10 = 380,000
NOTE 10 PLUS = 480,000
NOTE 20 ULTRA = 650,000
GOOGLE PIXEL
pixel 4 128GB - 300,000
pixel 4A 128GB - 350,000
pixel 4A 5g 128GB - 450,000
pixel 4XL 64GB - 400,000
pixel 4XL 128GB - 450,000
pixel 5 128GB - 490,000
pixel 5A 128GB - 550,000
pixel 6 128GB - 590,000

KWA MAWASILIANO ZAIDI YA JUU YA NAMNA YA KULIPIA NA KUPOKEA MZIGO WAKO
WHATSAPP +971 58 2640133
CALL/SMS 0654 156671 (Ofisi Manzese Argentina Dar es Salaam)
SIMU TUNASAFIRISHA KWA NJIA YA NDEGE NDANI YA SIKU 5-7 TU USHAPATA SIMU YAKO
KWA MAWASILIANO ZAIDI YA JUU YA NAMNA YA KULIPIA NA KUPOKEA MZIGO WAKO
Hizi simu nihalali?Tusije wanunulia wazazi wetu kijijini alafu wakasomewa albadili na wenye wameibiwa,
 
Ukiufuatilia huu uzi utajifunza vitu vifuatavyo:-
1. Kwa nini Wabongo wengi hatutoboi kwenye biashara za kimataifa.
2. Ujuaji,roho mbaya, kutoaminiana na unafiki ni tatizo letu kubwa mno.
3. Watanzania hatupendi maendeleo ya mwenzetu
4. Watanzania wengi ni maskini na washamba sanaaa
5. Poor Risk taking ni sababu kubwa sana watu wengi kutofanikiwa Bongo
6. 50% ya Wabongo ni wachawi kwenye biashara za watu.

Asanteni.
NASISITIZA.
 
Hizi simu nihalali?Tusije wanunulia wazazi wetu kijijini alafu wakasomewa albadili na wenye wameibiwa,
Hakikishs unafanya maamuzi hali ya kuwa moyo wako umeridhika 100% usitoe pesa yako half ukaanza kuishi kwa mashaka..

biashara ya vitu used ipo na itaendelea kuwepo
magari 99% unayopishaa nayo hapa ni used...
 
Back
Top Bottom