Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nimtafute alipo nikamfariji nikiwa naendelea kupokea rambirambiYap behaviourist ana msiba mzito nyie
Kwanini afe kwa upungufu wa damu ilhali binadamu tupo na tuna damu?Kifo ni fumbo sana Ila cha masogange kimeaccha [emoji780][emoji780][emoji780][emoji780]
Eti upungufu wa damu?
Huwezi jua rafiki angu kamaanisha nini. Usiseme unafki kumbe anajua zaidikafanya dhambi gani ""? hawezi kuwa na dhambi kubwa zaidi ya kutiana tu "" ambayo hata mimi nawewe na members wote wa humu huwa tunaifanya"" ifikie mahali tuache unafiki aisee""
Why! ?This news smell fishy
We acha tu, alooo nifanye mpango wa kupata copy aiseee maana nikidanja sasa hivi nasahaulika in 40 days, lakin kakiwepo ka dogo janja angalau jina langu litaishi.Dah!Apumzike kwa amani jamani,mpaka nimeogopa,siku hizi tunakufa wadoooogo
Nimecheka Sana SanaAlikuwa na ndoto gani Mkuu!??
we acha tu bashite kampa stress ...hiiiiiiiiii mswambwanda kama ule tunaupoteza hivi hiviPoleni wanaume kwa kupata pigo kubwaa
Zamu ya mchwa sasa....Shoga warembo wetu wanaisha,aisee mi nilikuwa napenda kumuona anavyotuonyesha tako lake
Kwani haiwezekani? Si binadamu? Apumzike kwa amani.Hizi habari za kweli ?
we kuwa sereus usilete ujinga ...ujui sisi wanaume tumeumiaje.Mange atasema Marehemu anataka kuzima maandamano.