TANZIA Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, Dar

Msimamizi WA Mochwari leo. Mmmghhh si bado atakua wa moto kidogo? Dah
Aisee yupo demu mmoja nilikuwa nimempangia ratiba si akafa ghafla! Nilitamani kwenda mochwari kumalizia mission. Kuna madem ni shida acha kabisa, nilipoambiwa kafa sikulala siku hiyo maana nilikuwa nimemiss bonge la target!
 
Sababu kuuliza swali ni hiyo comment hapo juu,sijui unaweza kutoa msaada wakati namsubiri mwenye comment yake.
Ambacho naweza kukwambia ni kwamba Yesu alikuwa tofauti,kwanza kuna sehemu sikumbuki msatari anasema "aliutoa uhai waki kisha akauchukua" something like that.Au niseme Yesu alipokufa kuna kazi alikuwa anaifanya mojawapo ni kumnyanganya shetani funguo za mauti,lakini siku ya tatu alifufuka kama alivyosema.Wanadamu wengine wako tofauti naye.Mimi huwa naamini Biblia haijipingi ila uelewa wetu wa neno la Mungu hutufanya muda mwingine tuone kama inajipinga.
Lakini pia nimekumbushwa hapa nikukumbushe kwamba Yesu aliomba kikombe hicho kimwepuke,unakumbuka alipokuwa katika ile bustani?lakini akasema bali si kama nitakavyo mimi bali mapenzi yako yatimie.Kwa hiyo naweza sema mambo mengine huruhusiwa kwa ajili ya Bwana.
kama hapo umepata shida,twende kwenye sehemu nyingine ambapo wayahudi waliami mtu akiumwa au akiwa na dosari katika mwili wake aidha yeye au wazazi wake walitenda dhambi.Lakini walipomwuliza Yesu kwa habari ya yule kipofu toka tumboni aliwaambia huyu wala wazazi wake hawakutenda dhambi.Mambo mengine yanaruhusiwa kwa ajiri ya utukufu wa Mungu.Mchango wangu ni huo kwa sasa,huo ulikuwa ni mpango wa Mungu.Kwa kifupi Mungu alipanga Yesu afe akiwa katika umri huo,kwa sababu tunaamini hata kama vifo vinasababishwa na shetani Mungu huweza kuvizuia.Kwa hiyo kwa mtu anayeishi maisha ya kumpendeza Mungu jambo lolote linaweza tokea kwake kama Mungu ameliruhusu litokee.
Lakini pia kama ni ishue ya neno hata shetani alitumia neno la Mungu kumwambia Yesu ajirushe,Mungu atatuma malaika na hilo lilikuwa ni andiko lakini Yesu alimjibu kwa neno imeandikwa usimjaribu Bwana Mungu wako.Naomba hapa ujifunze kitu,kwa nini Yesu hakujirusha kwa kuwa neno lipo linasema Bwana atatuma malaika wake?Are we missing something about God?
kama kuna sehemu nimekosea ruksa kuelimishwa.
 
Mkuu stage za H.I.V ni uniform ndo maana zimeitwa stages kwasabb zinafanana na kwa wataalam tunaozijua naweza kukupima kwa macho ukiwa kuanzia stage 3 na 4 mtu anakuona tu anajua unachoumwa hata km una kilo 100
Duuuuuu
 
Be kinder!!!??

Which English is that!?

Be kind.
 

Kwa hiyo bado umebakia pale pale kua kifo chini ya uzee wa miaka 70 ni mpango wa shetani??Mungu hausiki hapo na vifo ivyo nadhani ni vema tukianzia hapo alafu naamini nitakua na maswali ya msingi maana naamini Mungu alikua na uwezo wa kumuacha Yesu aishi zaidi ya miaka 70 ili kusiwe na contradiction alafu ndio lile Agano lingetimizwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…