Agness Masogange(Msambinungwa) Aonyesha tatoo zake za mwili

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,304









Naye mrembo na videoqueen mashuhuri tanzania AGNESS GERALD “masogange” naye hivi majuzi ameonesha picha za tattoo alizojichora na picha nyingine akichorwa kupitia mtandao huohuo wa instagram huku akijiita “bibi harusi mtarajiwa”
hii imekuja baada ya Mlimbwende kutoka kenya Victoria Kiman kuachia picha zake akiwa na tattoo za aina hii mapajani pia
 
Hizo alizochora sio tatoo ni hina iyo kachorwa na ndo mana akasema bi haruc mtarajiwa

hizo zina tofauti gani na tatoo? mi naona ni kitu kilekile lugha tu ndio imebadilika,na uyo ametumia bi harusi mtarajiwa lakini haolewi leo wala kesho
 
Hizo alizochora sio tatoo ni hina iyo kachorwa na ndo mana akasema bi haruc mtarajiwa

Asante! Nikitaka kushangaa, mbona kama hina????! Nijuavyo mimi bint wa kiislam akitaka kuolewa (ingawa huyu siyo muislam) hupakwa hina miguuni na miononi, baadae hufutika pole pole.
 
hizo zina tofauti gani na tatoo? mi naona ni kitu kilekile lugha tu ndio imebadilika,na uyo ametumia bi harusi mtarajiwa lakini haolewi leo wala kesho

Yap hujakosea sana mkuu ila kuchora tatoo kiasi icho ni kazi kweli na hasa ukizingatia haifutikagi upesi na kwa wingi huo isingekuwa rahisi.iyo aliyochora ni hina + piko akatokelezea mwenyewe
 
Asante! Nikitaka kushangaa, mbona kama hina????! Nijuavyo mimi bint wa kiislam akitaka kuolewa (ingawa huyu siyo muislam) hupakwa hina miguuni na miononi, baadae hufutika pole pole.

tofauti hiko wapi tatoo na hiyo hina?
 
------- we manistuna unaonekana kilaza sana ushaambiwa hina inafutika sababu ni michoro ya rangi tu au piko na inafutika mda wowote hasa ukiosha sana ila tattoo hazifutiki zingine zinakaa kwenye mwili...hii ni hinna sio tattoo

Usiniwaze kama huwezi kujiwaza.
 

Kwa hiyo wanaochora tatoo kwa wino na ambayo inafutika ni hina wanachora! !
 
Ni vitu viwili tofauti, kama mchangiaji mmoja alivyosema, hina ipo juu ya ngozi, tattoo inaingia ndani ya ngozi kwa kutumia sindano, sema kiswahili rasmi cha neno Tattoo hakijawekwa wazi!
 
Labda jamaa hajui tofauti ya hina +pico na tattoo

Sent from my BlackBerry 9700 using Jamie
 
Kutana na mwanamke aliyeenda umri na mitatoo take mapajani, utakimbia!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…