Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
Naye mrembo na videoqueen mashuhuri tanzania AGNESS GERALD masogange naye hivi majuzi ameonesha picha za tattoo alizojichora na picha nyingine akichorwa kupitia mtandao huohuo wa instagram huku akijiita bibi harusi mtarajiwa
hii imekuja baada ya Mlimbwende kutoka kenya Victoria Kiman kuachia picha zake akiwa na tattoo za aina hii mapajani pia