Hiyo hamu ya kunywa bia unaitoa wapi kabla hatujamalizana na Dp world?
Hizo bia zikipanda kichwa kikuu huwezi kukumbuka chomolea!
Lakini fahamu fika kuwa vichanga vya kuanzia mwezi machi 2024 vitakuwa uthibitisho kwamba wazazi hawakushiriki kampeni ya kuokoa bandari, wao walikuwa busy wananyanduana tu.