AGRICULTURAL ENGINEERING kwa walokwshaisoma na wanaondelea kuisoma

AGRICULTURAL ENGINEERING kwa walokwshaisoma na wanaondelea kuisoma

Kama ni sua unabidi ujitoe muhanga lakini kama ni sjuit utakula shavu kiaina...
 
Karibu Departiment of Agricultural Engineering and Land Planning usiogope make unakuja kupata kile unachokihitaji Msuli kama kawaida, kinachohitajika ukipata Drawing Board nunua uje nayo make kuna course inaitwa Engineering Drawing inahitaji uwe nayo, na vitu vingne vya msingi.
" With best regard"
 
Course yeyote ya engineering is both a challenge and a fulfilment. Wish you all the best.
 
Kama ni sua unabidi ujitoe muhanga lakini kama ni sjuit utakula shavu kiaina...

m nimechaguliwa sjuit ebu nambie shavu kalipi hv

Hongera sana...
Kule SJUIT misuli yao ya kawaida sana,ukikomaa kibeto unaweza pata hata upper 1st class...
Ni cozy ambayo bado ni very marketable nenda katafute gpa za uhakika...
Kwa cozy kama hii ni vizuri zaidi kama utakuwa na laptonga ya kukuwezesha kuaccess internet kwa uhakika ili uweze kuchimba, kufukua na kupakua madesa
 
Bwana mdogo kachaguliwa hii kozi St.Joseph ila siielewi elewi vile, ni kazi zipi hasa baada ya kuhitimu atafanya na pia kuhusu ajira au wanapangiwa wizarani moja kwa moja!!??
 
wadau 2ckimbilie ajla wakat hatujapa qualification itakayo 2wezesha kupata hyo ajla 2nayo itafuta co cha mcng kukomaa na coz ulo chaguliwa na ajila imebak kama zal alvyo paa yesu!
 
Karibu Departiment of Agricultural Engineering and Land Planning usiogope make unakuja kupata kile unachokihitaji Msuli kama kawaida, kinachohitajika ukipata Drawing Board nunua uje nayo make kuna course inaitwa Engineering Drawing inahitaji uwe nayo, na vitu vingne vya msingi.
" With best regard"
mpe somo dogo anafikiri engineering ni kuuza sura na asifikiri ajira asome kwanza suala la ajira litafuata baada ya kumaliza
 
Eti mkubwa, umechaguliwa hi cooz st joseph songea au wp maana joining istruction yao cjaielewa
 
Back
Top Bottom