Agriculture,Fisheries and livestock in Tanzania - East Africa

Agriculture,Fisheries and livestock in Tanzania - East Africa

Emc2

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2011
Posts
16,808
Reaction score
16,887
Nawasalimia wana JF.
Poleni na kazi. Kuna watu wamekuwa wanalalamika kuhusu mada inazozileta wakawa wanasema kwanini tusichangie mambo ya maana ili kukuza Africa Mashariki.

Basi leo nimeona nilete hii mada ya kuhusu Kilimo, Uvuvi na ufugaji Tanzania ili wenzetu wenye shida waweze kujua mazao yapo wapi waweze kupata.
Nitakuwa naweka picha na maeneo husika ndani ya Tanzania.

Ndugu zetu kutoka kenya wanalima maua lakini hawalimi mazao ya chakula tunaweza kuwasaidia waweze kupata japo mlo. Unajua hawa ni ndugu zetu kabisa, kinachotakiwa tu waweze kukusanya pesa zao waje tufanye biashara nao.
Utaratibu wetu wa serikali yetu ni kulipa kodi sasa basi mnaweza kukusanya pesa kutoka kwenye vijiji vyenu na kuja kununua mazao hapa bila kukwepa kodi na kuiba mazao ya raia wetu. Tutafanya biashara vizuri.

Nyanya zipo kwa wingi Tanzania
NYANYA1.jpg
 
Ugali huwa ni mtamu sana na mahindi hutumika kutengeneza unga wa ugali. Ndugu zangu kutoka kenya kila kona ya TZ mahindi hulimwa njooni na pesa zenu tuwapatie mahindi. Unajua ugali ukila na mboga iliyopikwa vizuri utapata raha.
Mahindi1.jpg
Mahindi2.jpg
Mahindi3.jpg
 
Najua ndugu zangu kutoka kenya mnapenda sana nyama choma za mbuzi, bahati mbaya hamkujaliwa kuwa na mazingira mazuri maana zaidi ya 50% ya nchi yenu unaukame wa kupindukia. Ndio maana mpo na mbuzi wachache sana. changamkeni kwa sasa maana baada ya mda tutakuwa na viwanda tutakuwa tunawauzia nyama za mbuzi walio sindikwa.
Maeneo yafuatayo yapo na mbuzi kwa wingi
1. Arusha
2. Manyara
3. Singida
4. Shinyanga
5. Tabora
6. Mwanza
7. Kigoma
8. Katavi
9. Sumbawanga
10. Iringa
11. Mbeya
Na maeneo mengi tu.
Unawenza ukaja Dar na kwenda maeneo ya vingunguti unaweza pata kitoweo chako safi.
Lakini kumbuka kukata kibali cha kununua na kusafirisha mbuzi la sivyo utaonekana mwizi
Halafu mbuzi wa Tanzania wanauwezo wa kupanda juu ya miti. Najua mbuzi wa kenya wanashida sana hawawezi kupanda juu ya miti

mbuzi1.jpg
MBUZI2.jpg
Mbuzi4.jpg
mbuziii2.jpg
 
Najua hili jina la Migebuka ni geni kwenu ndugu zangu wakenya.
Hawa ni samaki watamu kwa kula na ugali wanapatikana ziwa Tanganyika. Ziwa Tanganyika lipo mbali kidogo kutoka kwenu.
Unaweza ukaja Dar na kupanda treni kupitia reli ya kati pale itakapoishia ujue ndio kigoma. Lakini vilevile unaweza ukatumia Air Tanzania, kuna ndage mpya mbili tumenunua unaweza panda hizo na kusafiri mpaka kigoma.
Au unaweza tumia basi.
Ila ununuapo migebuka kumbuka kodi yetu na usiwanyonye raia wa tanzania. Bei zake ni chee!!
Migebuka.jpg
Migebuka2.jpg
Migebuka3.jpg
Migebuka5.jpg
 
Kwenye mihogo TZ usiseme. Ndugu na rafiki zangu kutoka kenya nawaletea bidhaa safi ya mihogo. Unajua kwenye muhogo hakuna cha kutupa maana majani ni mboga, Shina ni kuni na mizizi unaweza chemsha au kukausha ukatengeneza unga.
Kuna ramani ya wapi mihogo inapatikana wewe jitose tu. Kumbuka kodi yetu na ulanguzi hatutaki.
Mihogo1.png
Mihogo2.jpg
Mihogo3.jpg
Mihogo4.png
 
Najua mnapenda sana kula wali na pilau enyi ndugu zangu kutoka kenya, japo kuwa nyie ni wazembe kimtindo. Tunawakaribisha mje tufanye biashara. Mnaweza mkaja kuwekeza kwenye kilimo cha mpunga ili mpunga mingi upatikane.
Lakini mnaweza kuja kununu mchele kwa sasa.
Kodi yetu msisahau. Unajua kuna wakenya wengi tangu wazaliwe hawajawahi kula wali. Kwahiyo wasaidieni kwa kuja kununua na mchele hapa Tanzania. Si unajua nyie mnasema uchumi wenu upo juu!!? Sasa basi wasaidieni wenzenu japo wale wali.
Mpunga.jpg
Mpunga2.JPG
Mpunga3.jpg
Mpunga4..jpg
Mpunga5.jpg
 
Najua wakikuyu wanapenda sana juice za machungwa. Hapa machungwa tunalima kwa wingi. Huko Tanga na Pwani machungwa ya kumwaga. Basi jitahidini mje kuwekeza viwanda vya kusindika machungwa hapa bongo.
Ondokaneni na kununua juice iliyotengezwa kwa kutumia chemical viwandani njoo mpate jucie original kutoka Tanzania
Machungwa1.jpg
Machungwa2.JPG
Machungwa3.jpg
 
Najua ndugu zangu kutoka kenya mnapenda sana nyama choma za mbuzi, bahati mbaya hamkujaliwa kuwa na mazingira mazuri maana zaidi ya 50% ya nchi yenu unaukame wa kupindukia. Ndio maana mpo na mbuzi wachache sana. changamkeni kwa sasa maana baada ya mda tutakuwa na viwanda tutakuwa tunawauzia nyama za mbuzi walio sindikwa.
Maeneo yafuatayo yapo na mbuzi kwa wingi
1. Arusha
2. Manyara
3. Singida
4. Shinyanga
5. Tabora
6. Mwanza
7. Kigoma
8. Katavi
9. Sumbawanga
10. Iringa
11. Mbeya
Na maeneo mengi tu.
Unawenza ukaja Dar na kwenda maeneo ya vingunguti unaweza pata kitoweo chako safi.
Lakini kumbuka kukata kibali cha kununua na kusafirisha mbuzi la sivyo utaonekana mwizi
Halafu mbuzi wa Tanzania wanauwezo wa kupanda juu ya miti. Najua mbuzi wa kenya wanashida sana hawawezi kupanda juu ya miti

View attachment 437411 View attachment 437412 View attachment 437413


But Annael, it is not good lie like that.
mbuzi2-jpg.437412

mbuzi1-jpg.437411


Google reverse search is telling me that these photos are not from Tanzania!

Swiss Frau Farm Products

Bucks For Sale
 
Nawasalimia wana JF.
Poleni na kazi. Kuna watu wamekuwa wanalalamika kuhusu mada inazozileta wakawa wanasema kwanini tusichangie mambo ya maana ili kukuza Africa Mashariki.

Basi leo nimeona nilete hii mada ya kuhusu Kilimo, Uvuvi na ufugaji Tanzania ili wenzetu wenye shida waweze kujua mazao yapo wapi waweze kupata.
Nitakuwa naweka picha na maeneo husika ndani ya Tanzania.

Ndugu zetu kutoka kenya wanalima maua lakini hawalimi mazao ya chakula tunaweza kuwasaidia waweze kupata japo mlo. Unajua hawa ni ndugu zetu kabisa, kinachotakiwa tu waweze kukusanya pesa zao waje tufanye biashara nao.
Utaratibu wetu wa serikali yetu ni kulipa kodi sasa basi mnaweza kukusanya pesa kutoka kwenye vijiji vyenu na kuja kununua mazao hapa bila kukwepa kodi na kuiba mazao ya raia wetu. Tutafanya biashara vizuri.

Nyanya zipo kwa wingi Tanzania
View attachment 437400
2014-01-27-_DSC1628copy-thumb.jpg


U stole this image from here
Culinary Adventures in Southern Ireland
 
Unajua nyie wakenya nawapenda ndio maana nawaaeleza vitu vizuri.
Kuna Alizeti (Sun Flower) hutengenza mafuta mazuri sana ambayo hayakai mwilini.
Singida ndipo alizeti inalimwa kwa wingi. Njooni mnunue mafuta safi original toka singida.
Alizeti.jpg
Alizeti2.jpg
Alizeti3.jpg
Alizeti4.jpg
Alizeti5.JPG
 
But Annael, it is not good lie like that.
mbuzi2-jpg.437412

mbuzi1-jpg.437411


Google reverse search is telling me that these photos are not from Tanzania!

Swiss Frau Farm Products

Bucks For Sale
Hizo ni picha tu bro wewe nimekuelekeza wapi vifaa vinapatikana kama upo serious leta pesa TZ tukuletee mbuzi walio nona. Hao mbuzi huenda wameshachinjwa tayari.
Wewe leta pesa upate vitu. Acha kulia lia labda huna pesa wewe. Tumeanzisha vitu vya biashara mmeanza tena kulia lia.
 
Hizo ni picha tu bro wewe nimekuelekeza wapi vifaa vinapatikana kama upo serious leta pesa TZ tukuletee mbuzi walio nona. Hao mbuzi huenda wameshachinjwa tayari.
Wewe leta pesa upate vitu. Acha kulia lia labda huna pesa wewe. Tumeanzisha vitu vya biashara mmeanza tena kulia lia.
Kwa hivyo unakiri hizi si picha za Tzee? Sasa tutakuamini vipi?

16kf7r.jpg


Haya endelea........
 
Ndugu zangu wakenya acheni hasira. Sasa nawaletea mtama safi kutoka Tanzania. Unajua nyie mnashida sana ya kupata mlo. Na asilimia zaidi ya 60 ya wakenya wanapata mlo mmoja kwa siku na asilimia kama 10 hivi huwa hawapati mlo. Sasa kwetu mtama umejaa tele. Leteni pesa zenu ili mpate mlo. Unajua njaa haina mkubwa!!!

Matama3.JPG
Matama4.jpg
Mtama1.jpg
Mtama2.jpg
Mtama5.jpg
 
Wewe utahangaika na google image search sana. Wewe leta pesa ndugu zako wanakufa na njaa.
Unadhani hata ukija bongo tutakuuzia mpunga sahau.
Baada ya mda kidogo tutakuwa hatuwauzii mchele tutakuwa tunawauzia wali au pilau.
Tuonyeshe zilizo zenyu, sio za watu! Au si afadhali niende kwa hao wenye pich kunua?
 
Tuonyeshe zilizo zenyu, sio za watu! Au si afadhali niende kwa hao wenye pich kunua?
Kwikwikwi povu linakutoka sana.kama hutaki acha wenzako watakuja kununua.
Labda huna hela wewe.
 
Back
Top Bottom