Ahadi hewa zilizotolewa na Viongozi wa CCM kwa mwaka wa fedha 2024

Ahadi hewa zilizotolewa na Viongozi wa CCM kwa mwaka wa fedha 2024

Megalodon

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,534
Reaction score
7,866
1. Ahadi ya Kwanza ilikuwa ni Ikifika July 2024, manunuzi ya luku yatakuwa automated yaani ukinunua umeme hutokuwa na haja ya kuingiza token……zitaingia directly to your meter device

Hapa tulipigwa changa na utapeli

2. Umeme kukatika mwisho ilikuwa October 2024 kama alivyoahidi Mzee Doto Biteko, nakumbuka kuna kikao kimoja aliwafukuza TANESCO…. watoke but hadi leo umeme ni wa mgao maeneo mengi….. huu nao ulikuwa ni utapeli

3. Ujenzi wa Barabara ya Bigwa - Kisaki Morogoro(Kuanza na KM 70), 2023/2024. As we speak , Hata bango hakuna,

hapa tumepigwa changa, je Serikali Inampango gani na hii barabara, au ni UTAPELI mwingine?

4. Ahadi ya Mchungaji Gwajima kuifanya kawe kuwa ni A walk to remember sambamba na kusaidia vijana wa kawe kwenda Japan kupata mafunzo ya muda mrefu: as we speak , barabara za kawe ni mbovu, maji shida, na hakuna kijana aliesafirishwa…… Je wanakawe, mtaendelea kumchagua huyu au nao ni UTAPELI mwingine?

Weka Ahadi hewa nyingine ambazo viongozi wetu wa CCM wameshindwa kutimiza huku wananchi wanakauka damu na tozo pamoja na kodi za TRA
 
Kama Dar es salaam ndio mji mkuu wa kibiashara na nyumba zenye maji safi na salama hazifiki 50%
Barabara za vumbi ziko nyingi kuna haja ya kuwajadili tena CCM?
 
Ahadi hewa Ujenzi wa Barabara ya Bigwa - Kisaki Morogoro(Kuanza na KM 70), 2023/2024. Hata bango hakuna, imejaa mahandaki na mashimo. Ni dhuruma sana kwa wananchi wanaoteseka.
 
1. Ahadi ya Kwanza ilikuwa ni Ikifika July 2024, manunuzi ya luku yatakuwa automated yaani ukinunua umeme hutokuwa na haja ya kuingiza token……zitaingia directly to your meter device

Hapa tulipigwa changa na utapeli

2. Umeme kukatika mwisho ilikuwa October 2024 kama alivyoahidi Mzee Doto Biteko, nakumbuka kuna kikao kimoja aliwafukuza TANESCO…. watoke but hadi leo umeme ni wa mgao maeneo mengi….. huu nao ulikuwa ni utapeli
3.


Weka Ahadi hewa nyingine ambazo viongozi wetu wa mchongo wameshindwa kutimiza huku wananchi wanakauka damu na tozo pamoja na kodi za TRA
Chama Cha Matapeli
 
Kama Dar es salaam ndio mji mkuu wa kibiashara na nyumba zenye maji safi na salama hazifiki 50%
Barabara za vumbi ziko nyingi kuna haja ya kuwajadili tena CCM?
Hatuna haja. Frankly , kwa Miaka 61 nadhan CCCM wamejitajiridha zaid na familia zao

Watoto wa Marais wamekuwa hot cake

Ridhwani alichezea sana mali za Umma

Kwa sasa mali zinachezewa na Abdul Hafidh Amer

What changed !!!!!!!
 
1. Ahadi ya Kwanza ilikuwa ni Ikifika July 2024, manunuzi ya luku yatakuwa automated yaani ukinunua umeme hutokuwa na haja ya kuingiza token……zitaingia directly to your meter device

Hapa tulipigwa changa na utapeli

2. Umeme kukatika mwisho ilikuwa October 2024 kama alivyoahidi Mzee Doto Biteko, nakumbuka kuna kikao kimoja aliwafukuza TANESCO…. watoke but hadi leo umeme ni wa mgao maeneo mengi….. huu nao ulikuwa ni utapeli

3. Ujenzi wa Barabara ya Bigwa - Kisaki Morogoro(Kuanza na KM 70), 2023/2024. As we speak , Hata bango hakuna,

hapa tumepigwa changa, je Serikali Inampango gani na hii barabara, au ni UTAPELI mwingine?

4. Ahadi ya Mchungaji Gwajima kuifanya kawe kuwa ni A walk to remember sambamba na kusaidia vijana wa kawe kwenda Japan kupata mafunzo ya muda mrefu: as we speak , barabara za kawe ni mbovu, maji shida, na hakuna kijana aliesafirishwa…… Je wanakawe, mtaendelea kumchagua huyu au nao ni UTAPELI mwingine?

Weka Ahadi hewa nyingine ambazo viongozi wetu wa CCM wameshindwa kutimiza huku wananchi wanakauka damu na tozo pamoja na kodi za TRA
GwajiBoy TapiBoy


...Ni Hayo Tu!!
 
Wamekusanywa Arusha leo paap Januari hii hapa ni kupiga miayo ya njaa
 
Back
Top Bottom