Ahadi kama hizi Ndio zinakosesha imani kwa Utawala Huu

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,455
Reaction score
73,145
Fikiria ahadi kama hii ambayo inahusu usalama wa maisha ya Raia yaliyo potea na hakuna lililo fanyika bali ahadi hewa!

Nani atakuwa na imani tena na kiongozi huyo? Wananchi kama WAAJIRI wanapaswa kufanya nini kama sio kukufukuza kazi kwa njia ileile waliyo kuingiza kazini yaani KURA? Au watumie utaratibu wa kibunge na kikatiba kukupigia kura ya Vote of no confidence? Maana sio jinai na ukituma watu kuwanyamazisha utakuwa wewe ndio unamkosea Mungu na Katiba maana yote ni halali.

Hata thread hii ni halali pia.
 

Attachments

  • VID-20240911-WA0011.mp4
    5.8 MB
Aiseee

Nyumba isipolindwa na Mungu wa mbinguni alindaye anakesha Bure 🐼
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…