Ahadi ni deni na mkimuahidi mwanamke ni zaidi ya deni- jamaa yetu huyu sijui afeli kiswahili

Ahadi ni deni na mkimuahidi mwanamke ni zaidi ya deni- jamaa yetu huyu sijui afeli kiswahili

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
1608976927905.png
 
umejuaje hivyo ni vipindi kama husikilizi?? mimi nilijua ni aina ya sahuni au Vitamin
Huyo Ni mtangazaji bwana...aniatwa Hamisi..aka B12 .. B dozen...B twangala twizi..

Zamani nlikua namsikiliza huko double XL ...CloudsFm...siku Hizi kahamia EFM anakipi ndi kinaitwa Empire na Jonijo..

Sasa ndo uone Nani anasikiliza hivyo vipindi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Huyo Ni mtangazaji bwana...aniatwa Hamisi..aka B12 .. B dozen...B twangala twizi..

Zamani nlikua namsikiliza huko double XL ...CloudsFm...siku Hizi kahamia EFM anakipi ndi kinaitwa Empire na Jonijo..

Sasa ndo uone Nani anasikiliza hivyo vipindi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Kumbe we ni msikilizaji mzuri zaidi, mimi huyo ni mwanangu!
 
Back
Top Bottom