Ahadi ni deni na mkimuahidi mwanamke ni zaidi ya deni- jamaa yetu huyu sijui afeli kiswahili

umejuaje hivyo ni vipindi kama husikilizi?? mimi nilijua ni aina ya sahuni au Vitamin
Huyo Ni mtangazaji bwana...aniatwa Hamisi..aka B12 .. B dozen...B twangala twizi..

Zamani nlikua namsikiliza huko double XL ...CloudsFm...siku Hizi kahamia EFM anakipi ndi kinaitwa Empire na Jonijo..

Sasa ndo uone Nani anasikiliza hivyo vipindi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 

Kumbe we ni msikilizaji mzuri zaidi, mimi huyo ni mwanangu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…