MENERIKI II
JF-Expert Member
- Oct 21, 2014
- 642
- 1,294
Ndio kaka 😂 😂Hahahaa kama katoni mbili hivi za pepsi bigi si ndio??? Ila wabongo😄
Sasa si uchangie tu kabisa kwenye zile namba mkuu.
Ujinga Hauna Mtu maarum, hata wewe yaweza kua mjingaJf inazidi kua ya kijinga Kila siku
Tokea ujiunge au?Jf inazidi kua ya kijinga Kila siku
Watz ni wavivu hadi wanaboaJf inazidi kua ya kijinga Kila siku
Uvivu umekujaje hapoWatz ni wavivu hadi wanaboa
Wao wanatia aibu wanafungwa kila mara hadi watu wamechoka wanaahidi soda siku hizi nafuu kidogoUvivu umekujaje hapo