Ahadi za 10M zinatolewa na GSM kupitia viongozi ambao ni Yanga

Ahadi za 10M zinatolewa na GSM kupitia viongozi ambao ni Yanga

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
20211001_230152135226.jpg

20211001_23022575108.jpg

20211001_23031638283.jpg

Vyanzo vyangu vya kuaminika vimeniambia njia ya kuhujuma Simba Sc imerahisishwa. Ni kuwafanyia fujo kubwa uwanjani kwa malipo ya milioni 10 kama fujo zitaleta tija. Fedha hizi zimekuwa zikiahidiwa na viongozi wa mkoa lakini ukweli ni kwamba ile ni zuga tu,fungu linatoka GSM.

Sina shida wa kuwapa pesa ili wapambane kushinda,lakini mnawapa pesa ili kufanya fujo wachezaji wa Simba washindwe kucheza mpira na pia wapate majeruhi ilete athari kwa mechi zijazo.

Vyombo vinavyohusika vichunguze hii rushwa
 
Kamia lakini usiwadhuru wachezaji wenzako maana hayo ndio maisha yao, sasa mambo ya karate yanaingiaje kwenye soka?
Karate alicheza Kennedy Juma mechi ya Simba na biashara, Chakushangaza hakupewa kadi nyekundu Wala Kennedy hakufikuria yule mchezaji wa biashara mpira ndio maisha yake, Na mashabiki wa mbumbumbu fc waliona ni Jambo la kawaida katika soka.
 
View attachment 1959865
View attachment 1959866
View attachment 1959867

Vyanzo vyangu vya kuaminika vimeniambia njia ya kuhujuma Simba Sc imerahisishwa. Ni kuwafanyia fujo kubwa uwanjani kwa malipo ya milioni 10 kama fujo zitaleta tija. Fedha hizi zimekuwa zikiahidiwa na viongozi wa mkoa lakini ukweli ni kwamba ile ni zuga tu,fungu linatoka GSM.

Sina shida wa kuwapa pesa ili wapambane kushinda,lakini mnawapa pesa ili kufanya fujo wachezaji wa Simba washindwe kucheza mpira na pia wapate majeruhi ilete athari kwa mechi zijazo.

Vyombo vinavyohusika vichunguze hii rushwa
Jikiteni kutengeneza kikosi acheni mambo ya kipumbavu mnabwekabweka apa kwaiyo na mugalu anapewa shingap kupaisha mipira juu au kupiga nje, nyie iyo si ndio ilikuwa michezo yenu misimu iliyopita mnaonga timu pinzani kuibania yanga, Leo hii ndo mmeona ni kitu kibaya kwanini kipindi kile amkukemea? Ovyo kabisa nyie
 
View attachment 1959865
View attachment 1959866
View attachment 1959867
Vyanzo vyangu vya kuaminika vimeniambia njia ya kuhujuma Simba Sc imerahisishwa. Ni kuwafanyia fujo kubwa uwanjani kwa malipo ya milioni 10 kama fujo zitaleta tija. Fedha hizi zimekuwa zikiahidiwa na viongozi wa mkoa lakini ukweli ni kwamba ile ni zuga tu,fungu linatoka GSM.

Sina shida wa kuwapa pesa ili wapambane kushinda,lakini mnawapa pesa ili kufanya fujo wachezaji wa Simba washindwe kucheza mpira na pia wapate majeruhi ilete athari kwa mechi zijazo.

Vyombo vinavyohusika vichunguze hii rushwa
Aiseeee
 
View attachment 1959865
View attachment 1959866
View attachment 1959867
Vyanzo vyangu vya kuaminika vimeniambia njia ya kuhujuma Simba Sc imerahisishwa. Ni kuwafanyia fujo kubwa uwanjani kwa malipo ya milioni 10 kama fujo zitaleta tija. Fedha hizi zimekuwa zikiahidiwa na viongozi wa mkoa lakini ukweli ni kwamba ile ni zuga tu,fungu linatoka GSM.

Sina shida wa kuwapa pesa ili wapambane kushinda,lakini mnawapa pesa ili kufanya fujo wachezaji wa Simba washindwe kucheza mpira na pia wapate majeruhi ilete athari kwa mechi zijazo.

Vyombo vinavyohusika vichunguze hii rushwa
Mkuki kwa Nguruwe,kuimba kupokezana,mpira pasi na kutesa kwa zamu.
JamiiForums-493917225.jpg
 
Sawa lkn makonda alitoa ahadi endapo kama wakiwafunga hao yanga atatoa mpunga,, ila shida ya gharib said Mohammed yeye anatoa ahadi ya kuwavunja viuno unapata mzigo, sasa wewe unaona imekaaje hii
Lete evidences za hizo ahadi
 
Back
Top Bottom