Ahadi za Serikali kuhusu kumalizika kwa Mgawo wa Umeme kwa takriban miaka 13 kuanzia 2010 - 2024

Ahadi za Serikali kuhusu kumalizika kwa Mgawo wa Umeme kwa takriban miaka 13 kuanzia 2010 - 2024

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
378
Reaction score
766
Baadhi ya ahadi za Serikali kuhusu kumalizika kwa Mgawo wa Umeme zilizotolewa kwa takriban miaka 13 kuanzia mwaka 2010 hadi mwaka 2024.
 
Ahadi ni jambo la kawaida sanaa

Ata huku mtaani tunaahidiana vitu kibao, yapo yatekelezekayo na yapo yasiyotekelezeka na kubaki kuwa ahadi

Baby: kwani utaniacha
Mimi: apana sikuachi ... love uuu
Baby: mbona siku hizi umepunguza amsha amshaaa
Mimi: nipo bize
Baby: hunijali
Mimi: ......... (angelijua nko kwa Zuuu now days asingehangaikaa)
 
Back
Top Bottom