Ahadi zinazotolewa hapa hata wanasiasa wakasome!

Ahadi zinazotolewa hapa hata wanasiasa wakasome!

Wapenzi lazima muwe machizi flani hivi.. ila mu enjoy πŸ˜…πŸ˜….. kuna siku mnaamua mnapiga road trip mnapaki gari karibu na hifadhi ya wanyama wakali, mnatianaa just memory tu 🀣🀣🀣 mligongana huku tembo wanapita
Hapana Hapana πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Wapenzi lazima muwe machizi flani hivi.. ila mu enjoy πŸ˜…πŸ˜….. kuna siku mnaamua mnapiga road trip mnapaki gari karibu na hifadhi ya wanyama wakali, mnatianaa just memory tu 🀣🀣🀣 mligongana huku tembo wanapita
Walio karibu na huyu kijana wampokonye cm anakoelekea sikoπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎ
 
Walio karibu na huyu kijana wampokonye cm anakoelekea sikoπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎ
πŸ˜…πŸ˜… Unajua kwanini watu wanaachana.. ?
Jibu hawana matukio ya nguvu ya kuwaunganishaaa.. ndio maana mtu anaona hata akimpoteza atalata mwingine.. unafikiri unafanya sex Simba anawatazama kuna mwanaume gani utapata kirahisi wa kufanya hivyo
 
Baby❀️ usijali kabisa,yaani nitakujengee nyumba ya kisasa...... Mabati chini na msingi wa nyumba utakuaa juu🀣 we nipe make libolo FC itauma sana mpaka naeza enda lazwa
 
πŸ˜…πŸ˜… Unajua kwanini watu wanaachana.. ?
Jibu hawana matukio ya nguvu ya kuwaunganishaaa.. ndio maana mtu anaona hata akimpoteza atalata mwingine.. unafikiri unafanya sex Simba anawatazama kuna mwanaume gani utapata kirahisi wa kufanya hivyo
Asante mkufunziπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎ
 
Hapo unanikumbusha lishibombo langu moja hilo.Linakuuliza baby umeienjoy eeeh? Na mimi nalikejeli nimeienjoy mnooo sijawahi kuenjoy kama hivi toka nizaliwe.Huku nalizomea kimya kimya likiangalia pembeni.
 
Asante mkufunziπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎ
Moments zinaweza amua.. watu siku hizi Wana mapenzi mapesi sana, ndio maana dk sifuri Wana mwagana.. wazee wetu walikuwa na tough moments ndio zilizo Fanya waishi Hadi wengine wanazikana.. lazima uhakikishe una tengeza matukio ya hatari . πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Note point nimekupa mkuu
 
Back
Top Bottom