Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
Twende pm tukajaribu kam n kwelπ π π π nikipata nao hata mwezi ujao, sina mambo mengi sijui kuchunguzana tabiaa... Ni chap kwa haraka navutana ndani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Twende pm tukajaribu kam n kwelπ π π π nikipata nao hata mwezi ujao, sina mambo mengi sijui kuchunguzana tabiaa... Ni chap kwa haraka navutana ndani
Wapenzi lazima muwe machizi flani hivi.. ila mu enjoy π π .. kuna siku mnaamua mnapiga road trip mnapaki gari karibu na hifadhi ya wanyama wakali, mnatianaa just memory tu π€£π€£π€£ mligongana huku tembo wanapitaJamani huko ni Depo sasa π π π π
Hapana Hapana π π πWapenzi lazima muwe machizi flani hivi.. ila mu enjoy π π .. kuna siku mnaamua mnapiga road trip mnapaki gari karibu na hifadhi ya wanyama wakali, mnatianaa just memory tu π€£π€£π€£ mligongana huku tembo wanapita
π π Nuhu huyu huyu wa safinaaaWe ni Nuhu uyu uyu kwel au Nuhu wa sodoma na gomolaπππ
Walio karibu na huyu kijana wampokonye cm anakoelekea sikoππΎππΎWapenzi lazima muwe machizi flani hivi.. ila mu enjoy π π .. kuna siku mnaamua mnapiga road trip mnapaki gari karibu na hifadhi ya wanyama wakali, mnatianaa just memory tu π€£π€£π€£ mligongana huku tembo wanapita
Hapana sidhani aseeeeππΎππΎπ π Nuhu huyu huyu wa safinaaa
π π π mie chap kwa haraka uchunguzi wa kazi gani banaaa.. nakuja huko asahiviTwende pm tukajaribu kam n kwel
niljua ushafika mi nshampigia fundi wa kushona shelaπ π π mie chap kwa haraka uchunguzi wa kazi gani banaaa.. nakuja huko asahivi
π π Unajua kwanini watu wanaachana.. ?Walio karibu na huyu kijana wampokonye cm anakoelekea sikoππΎππΎ
π π Ni kama unaniwekea keki mdomoni vile . Alafu unakula mwenyeweniljua ushafika mi nshampigia fundi wa kushona shela
Ukifikia stage hii unaweza kuuza hata nchiEbu tiririka uongo unaondondoshwa hapo! ππView attachment 3210448
Asante mkufunziππΎππΎπ π Unajua kwanini watu wanaachana.. ?
Jibu hawana matukio ya nguvu ya kuwaunganishaaa.. ndio maana mtu anaona hata akimpoteza atalata mwingine.. unafikiri unafanya sex Simba anawatazama kuna mwanaume gani utapata kirahisi wa kufanya hivyo
Kwanini sasaπ π Ni kama unaniwekea keki mdomoni vile . Alafu unakula mwenyewe
Mcheki fundi akutengezee yenyewe atume invoice tuongee na padree tule pingu za maishaniljua ushafika mi nshampigia fundi wa kushona shela
Bwana Fisi Never Miss.sera za nini hapo, meli ishatua bandarini ni kupakua mzigo tu.
Mlisema haolewiiiiii mbona kaolewaaaaaa aaaririririiiiiiMcheki fundi akutengezee yenyewe atume invoice tuongee na padree tule pingu za maisha
Moments zinaweza amua.. watu siku hizi Wana mapenzi mapesi sana, ndio maana dk sifuri Wana mwagana.. wazee wetu walikuwa na tough moments ndio zilizo Fanya waishi Hadi wengine wanazikana.. lazima uhakikishe una tengeza matukio ya hatari . π π π π Note point nimekupa mkuuAsante mkufunziππΎππΎ
Kama nimepata vile kama unanilingishia doli dolii π€£π€£π€£..Kwanini sasa