Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
akirudi bongo ataftiwe soko kwa waganga wa kienyiji
am deeply sorry unajua goli tatu zmenyofoa some of my reasonings, you are right kajbisaHizo sio habari za utani mkuu, husasan wakati huu mgumu kwao. Albino ni binadamu kama wewe!!
shaghala baghalaHivi Yanga wanacheza formation gani ?
dont tell me you are Madega with those initial pretexts?Refa wao, Uwanja wao, Aboutrika wao, wachezaji wetu walikuwa huko CHAN hivyo wamechoka na hawakuwa na muda wa kujiandaa vyema na wenzao.
Dar Yatakuwa Mengine!!
Labda yesu arudi!Bongo tutaweza kupata 4-0 kavu kweli!
full time: Ahly 3 Yanga 0
Well-done Yanga. Hii ni improvement kubwa sana .. ukiangalia historia ya Yanga vs. Egyptians
hata mkienda kaunda mtapigwa tu...na mkijitahidi ni sare...tubanane hapa hapa bongo...kudadadekiMhhh... Wakija Bongo tuende Uhuru... kwani National stadium...tutapigwa kama tumesimama...
Maximohuy nsajigwa sijui ndo nani hata kutoa pas hajui kafundishwa na nani mpira wa mitaani anaotuonyesha................