Ahly Athletic Club vs Dar Yanga Africam

Ahly Athletic Club vs Dar Yanga Africam

Hizo sio habari za utani mkuu, husasan wakati huu mgumu kwao. Albino ni binadamu kama wewe!!
am deeply sorry unajua goli tatu zmenyofoa some of my reasonings, you are right kajbisa
 
sku nyengine tukipangiwa na waraabu tuumwe sote tusije huku aibu.
 
Refa wao, Uwanja wao, Aboutrika wao, wachezaji wetu walikuwa huko CHAN hivyo wamechoka na hawakuwa na muda wa kujiandaa vyema na wenzao.

Dar Yatakuwa Mengine!!
 
Refa wao, Uwanja wao, Aboutrika wao, wachezaji wetu walikuwa huko CHAN hivyo wamechoka na hawakuwa na muda wa kujiandaa vyema na wenzao.

Dar Yatakuwa Mengine!!
dont tell me you are Madega with those initial pretexts?
 
Holders Al Ahly outclass Yanga

Al Ahly have one foot in the next round of the Champions League

Holders Al Ahly have put one foot in the next round of the African Champions League after a 3-0 win over Yanga of Tanzania on Sunday.

Two goals from Mohamed Barakat and one from Angolan forward Flavio secured victory for the Egyptian side in this first leg, second round tie in Cairo.
 
Mhhh... Wakija Bongo tuende Uhuru... kwani National stadium...tutapigwa kama tumesimama...
 
Lini yanga ikzifunga timu za misri? waje wasubiri ligi kuu ya bongo wazitese timu za JKT Ruvu, Azam na Manyema
 
Katibu mipango wa Yanga leo katika kipindi cha spoti leo cha 89.5 FM radio one stereo amedokeza kuwa mechi ya marudiano itapigwa katika dimba ya Uhuru maana pale nyasi ni za bandia na kuna mchanga kibao hivyo waarabu lazima wachemshe na tutalawa ki man u au ki madrid madrid...
 
Last edited:
Popular way to start the African Cavaliers
Mon, 16 Mar 2009 by ahmed alzaher from WW.AHLY.COM



Civil defense campaign was the title of Princess of the dark and relatively comfortable victory 3-0 in a match from one party to run almost as popular players in the waste of opportunities, while only a strange group of Young Africans beaten and played in the last quarter of an hour in the game

Alahli meeting began looking for an early goal and before touching a player from the Tanzanian football team was able to Mohammed Barakat scored the first goal after a pass, Ahmed Hassan, was much in the 39-second play after the money for calm in the violence is not justified by the Young players Africkaz up to the register Alahli counterproductive after the second goal from Ahmed Fathi saved by goalkeeper Flavio to patient, laid-free header into the net .. Beyond money to play in the calm of the Portuguese lost opportunities, especially Ahmed Bilal

The beginning of the second half with a coach Manuel Jose to drive change and Bilal Ahmed Hossam Ashour landing place in order to acquire the middle of the pitch and get popular on many of the opportunities but they are all lost, especially to Ahmed Hassan, Mohamed Barakat is able to make his second goal and third-team counterproductive Ahmed Fathi Beyond a Jose Manuel alter benzene and Hussein Mohamed Aboutrika place Yasser Ahmed Hassan and Ahmed Fathi after this change was not popular any recalls the seriousness of Hussein's ill-Yasser, who are very much in doubt as a penalty but the sentence did not Ihzbha with the passage of time, especially where Mndhu 75 minutes gave the Tanzania, but a symbolic fine and not to the benefit of the experience of the players if the result of the reduction will come to an end the meeting minutes until the red to the second leg which will be held on April 5 next
 
Back
Top Bottom