Ahmed Ally acha propaganda haisaidii, uwe na aibu hata kidogo

Ahmed Ally acha propaganda haisaidii, uwe na aibu hata kidogo

vvvv

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2018
Posts
406
Reaction score
717
Namsikiliza kwenye radio free sahizi anasema Simba nafasi ya ubingwa tunayo timu iko imara, mashabiki waache kulalamika,huwezi kuwa mbovu wakati umefika robo fainali club bingwa, upo nafasi ya pili ligi kuu na una ngao ya jamii,, akaongeza kwamba mashabiki wanalishwa maneno ya uongo kwamba Mo hatoi hela hafai,wengine Magungu na Try again hawafai, wengine wachezaji hawafai,haiwezekani club nzima haifai.

Ahmed Ally atambue mashabiki wa Simba siyo wajinga,kama timu siyo mbovu na wanalea yai bovu ipo siku litakuja kulipuka mbeleni.

Kwasababu viongozi wa Simba hawakubali ukweli tusitegemee lolote,Timu inafungwa na mashujaa ni sawa,wapo pungu dk zote 57 unashindwa kumfunga.

Anachofanya Ahmed Ally mashabiki wa Simba waanze kushaingilia uwanjani Simba wakifungwa ili viongozi wapate somo.
 
Yuko sawa
Tatizo watu wanataka walinganishe ubora wa simba na yanga
 
Lini umechangia timu yako?

Au unipiga kelele tu.

Kama unauchungu sana na simba kuliko familia yako basi tengeneza timu yako au omba umilikishwe.

Watanzania wajinga sana! Mtu ni shabiki tu lakini anaongea utadhania anahisa.
 
Lini umechangia timu yako?
Au unipiga kelele tu
kama unauchungu sana na simba kuliko familia yako basi tengeneza timu yako au omba umilikishwe.

Watanzania wajinga sana! Mtu ni shabiki tu lakini anaongea utadhania anahisa.
Mjinga ni wewe unabeba kichwa kama parachichi
 
Namsikiliza kwenye radio free sahizi anasema Simba nafasi ya ubingwa tunayo timu iko imara, mashabiki waache kulalamika,huwezi kuwa mbovu wakati umefika robo fainali club bingwa, upo nafasi ya pili ligi kuu na una ngao ya jamii,, akaongeza kwamba mashabiki wanalishwa maneno ya uongo kwamba Mo hatoi hela hafai,wengine Magungu na Try again hawafai, wengine wachezaji hawafai,haiwezekani club nzima haifai.

Ahmed Ally atambue mashabiki wa Simba siyo wajinga,kama timu siyo mbovu na wanalea yai bovu ipo siku litakuja kulipuka mbeleni.

Kwasababu viongozi wa Simba hawakubali ukweli tusitegemee lolote,Timu inafungwa na mashujaa ni sawa,wapo pungu dk zote 57 unashindwa kumfunga.

Anachofanya Ahmed Ally mashabiki wa Simba waanze kushaingilia uwanjani Simba wakifungwa ili viongozi wapate somo.
Unajua mashabiki wa Simba, wanachama na wadau wa michezo wanashindwa kutambua kwamba gape la ubora aliloset yanga ndio linaifanya Simba ionekana mbovu, pia ushindani wa ligi kwa sasa akuna timu ambayo inaingia uwanjani kinyonge Kama zamani, timu zinao udhamini wa Azam Kila timu inakunja kibunda mambo ya njaa Kama zamani ayapo kwamba utaihonga upate ushindi wa bwelele, kipindi Simba anabeba ubingwa back to back timu nyingi zilikuwa na Hali mbaya ikiwemo yanga, na Simba kipindi icho walikuwa na Mo akiwa bado wa moto anafanya usajili wa nguvu lakini yanga walikuwa wanatembeza bakuli ivyo Simba ikajitawala ipasavyo, Sasa hivi mambo mengi yamebadilika yanga Iko vizuri kwenye Kila eneo, na timu nyingi hazina njaa ivyo Simba anapata wakati mgumu sana kwenye mapambano ya uwanjani maana amekabwa Kila Kona apumui but Simba ni Ile Ile sidhani Kama ni mbovu kivile Kama inavyosema na wadau but standard ya ubora wa yanga unafanya Simba ionekane mbovu!
 
Tumeisha waambia Hizo timu kuzishobokea sana kupita kiasi tatizo.

Kila muda simba yanga.
Muda wote mnawaza simba na yanga, hilo ni tatizo na ni kaugonjwa fulani hivi.

Simba na Yanga zimekuwa Dini Tanzania kutwa kucha ni kuziabudu tu.

Mnachezewa Danganya Toto na Goverment maana hivyo ni vyombo vyao vya propaganda.

MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
 
Namsikiliza kwenye radio free sahizi anasema Simba nafasi ya ubingwa tunayo timu iko imara, mashabiki waache kulalamika,huwezi kuwa mbovu wakati umefika robo fainali club bingwa, upo nafasi ya pili ligi kuu na una ngao ya jamii,, akaongeza kwamba mashabiki wanalishwa maneno ya uongo kwamba Mo hatoi hela hafai,wengine Magungu na Try again hawafai, wengine wachezaji hawafai,haiwezekani club nzima haifai.

Ahmed Ally atambue mashabiki wa Simba siyo wajinga,kama timu siyo mbovu na wanalea yai bovu ipo siku litakuja kulipuka mbeleni.

Kwasababu viongozi wa Simba hawakubali ukweli tusitegemee lolote,Timu inafungwa na mashujaa ni sawa,wapo pungu dk zote 57 unashindwa kumfunga.

Anachofanya Ahmed Ally mashabiki wa Simba waanze kushaingilia uwanjani Simba wakifungwa ili viongozi wapate somo.
Huyo mpuuzi ni wa kuchapa bakora!!!
 
Back
Top Bottom