Ahmed Ally alia na mashabiki wa Simba

Kuna namna wana Simba SC hawako motivated na hii timu that's my feelings any way
Ww wasema...hakuna watu wanaipenda timu yao kama Simba...
Kwanza mara ya kwanza ilikua ni basi moja tuu walilopanga liende..then mashabiki wakaomba sanaa then management ikaona basi sawa liongezwe lingine...
 
Ww wasema...hakuna watu wanaipenda timu yao kama Simba...
Kwanza mara ya kwanza ilikua ni basi moja tuu walilopanga liende..then mashabiki wakaomba sanaa then management ikaona basi sawa liongezwe lingine...
Kesho ipo mapema tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…