Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Msemaji wa Simba SC, Ahmed Ally, amemjibu Msemaji wa Yanga SC, Ally Kamwe, kufuatia tuhuma alizozitoa za Simba kubebwa na waamuzi katika Ligi Kuu.
Kupitia ujumbe wake, Ahmed;
Soma: Malalamiko ya Yanga kuhusu refa Kayomba ni ya kijinga
Msemaji wa Yanga SC, Ally Kamwe, alitoa tuhuma kali akidai kuwa Simba SC imenufaika na makosa ya waamuzi mara kwa mara katika Ligi Kuu. Kupitia ujumbe wake, Kamwe alieleza:
Ilivyokuwa ratiba ya waamuzi wa Kati waliochezesha mechi za Yanga SC na Simba SC
Kupitia ujumbe wake, Ahmed;
Soma: Malalamiko ya Yanga kuhusu refa Kayomba ni ya kijinga
Msemaji wa Yanga SC, Ally Kamwe, alitoa tuhuma kali akidai kuwa Simba SC imenufaika na makosa ya waamuzi mara kwa mara katika Ligi Kuu. Kupitia ujumbe wake, Kamwe alieleza:
Ilivyokuwa ratiba ya waamuzi wa Kati waliochezesha mechi za Yanga SC na Simba SC