Msemaji wa Yanga SC, Ally Kamwe, alitoa tuhuma kali akidai kuwa Simba SC imenufaika na makosa ya waamuzi mara kwa mara katika Ligi Kuu. Kupitia ujumbe wake, Kamwe alieleza:
Ilivyokuwa ratiba ya waamuzi wa Kati waliochezesha mechi za Yanga SC na Simba SC