Kwa hiyo siku zote hizi alikuwa hajui kama Bingwa wa msimu huu ni Yanga, kwa mara nyingine tena! Au ni ubishi wake tu.“Matokeo ya jana kusema ukweli wa Mungu yametuumiza sana, yametukatisha tamaa kwa sababu Lengo lilikuwa ni kushinda ili tuweze kuleta ushindani mzuri kwenye mbio za ubingwa.
“Baada ya kupoteza jana tumezidi kujiwekea ugumu sisi wenyewe na kwa sasa mipango au ujasiri wa kusema moja kwa moja kwamba tunapigania ubingwa inaweza kuwa ni 50/50,” Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba Sc, Ahmed Ally
===
Huyu Jamaa timu Ina mlet down Kila siku[emoji23][emoji23][emoji23] atakufa presha.
Ni ngumu sana kumshusha maana sio kwa zile penati za nje ya boxAlitegemea miujiza.....ila alisahau kuwa Yanga akikaa pale juu
.
Kumshusha ni ngumu
Aje acheze namba ya nani hapo lunyasi ?Fanyeni sajiri nzito ......au mchukueni feitoto
Fei hamna mchezaji hapo, mmemkuza tu kama ilivyo kawaida yenu ila kiuwezo wa kawaida sanaHata Chama
Teh teh teh teh teh teh teh....
Hii si timu nzima sasaMaombi yangu yametimia
Hawa watemwe
Banda
Kapama
Akpan
Okrah
Okwa
Sawadogo
Outaraa
Nyoni
Bocco
Mkude
Kennedy
Mwenda
Wafuatao wasiongezewe Mkataba
Kapombe
Chama
Saido
Phiri
Manura
Onyango
Mzamiru
Siku hizi unakuja JF kwa kunyataMshajimilikisha kombe la Azam sio ?? [emoji23]
Huu uzi hata akina makolo, madunduka a.k.a wapenzi wa NGADA FC akina GENTAMYCINE, Kalpana, cocastic et el wasipouona, sisi tutawaonyesha tu uliko....!!!“Matokeo ya jana kusema ukweli wa Mungu yametuumiza sana, yametukatisha tamaa kwa sababu Lengo lilikuwa ni kushinda ili tuweze kuleta ushindani mzuri kwenye mbio za ubingwa.
“Baada ya kupoteza jana tumezidi kujiwekea ugumu sisi wenyewe na kwa sasa mipango au ujasiri wa kusema moja kwa moja kwamba tunapigania ubingwa inaweza kuwa ni 50/50,” Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba Sc, Ahmed Ally
===
Huyu Jamaa timu Ina mlet down Kila siku[emoji23][emoji23][emoji23] atakufa presha.