Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Kwa hiyo siku zote hizi alikuwa hajui kama Bingwa wa msimu huu ni Yanga, kwa mara nyingine tena! Au ni ubishi wake tu.“Matokeo ya jana kusema ukweli wa Mungu yametuumiza sana, yametukatisha tamaa kwa sababu Lengo lilikuwa ni kushinda ili tuweze kuleta ushindani mzuri kwenye mbio za ubingwa.
“Baada ya kupoteza jana tumezidi kujiwekea ugumu sisi wenyewe na kwa sasa mipango au ujasiri wa kusema moja kwa moja kwamba tunapigania ubingwa inaweza kuwa ni 50/50,” Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba Sc, Ahmed Ally
===
Huyu Jamaa timu Ina mlet down Kila siku[emoji23][emoji23][emoji23] atakufa presha.