Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Jamaa anataka timu nzima ifukuzweHii si timu nzima sasa
Mkuu huyu Kalpana Kani pm ....kasema from now on yeye ni mwananchi so tumu add Kwenye groupHuu uzi hata akina makolo, madunduka a.k.a wapenzi wa NGADA FC akina GENTAMYCINE, Kalpana, cocastic et el wasipouona, sisi tutawaonyesha tu uliko....!!!
CC Bantu Lady
Tumeuona hayo ni mawazo yake yeye..hayatuhusu wote wewe utopolo...Huu uzi hata akina makolo, madunduka a.k.a wapenzi wa NGADA FC akina GENTAMYCINE, Kalpana, cocastic et el wasipouona, sisi tutawaonyesha tu uliko....!!!
CC Bantu Lady
Juzi nimemkuta mtu dukani anamwambia muuza duka, naomba dagaa SIMBA na unga YangaTumeuona hayo ni mawazo yake yeye..hayatuhusu wote wewe utopolo...
Daaah siku si nyingi mtafika kiloJuzi nimemkuta mtu dukani anamwambia muuza duka, naomba dagaa SIMBA na unga Yanga
AahhaaaaaNB: picha haihusiani na content presented above: Umeelewa Nini hapa .....pichani [emoji23]View attachment 2609431
Mkuu wameshachukua makombe mawili tayari ujue,simba wamejimaliza wenyewe kupitia mchezo wao wa jana dhidi ya Namungo. kabla ya game ya jana Yanga alikuwa na nafasi ya asilimi 85 na simba asilimia 60 ya kuchukua ubingwa. sioni Simba ikichukua taji lolote msimu huu
AahaaaaaaMkuu huyu Kalpana Kani pm ....kasema from now on yeye ni mwananchi so tumu add Kwenye group
Hawa ndo wale wakiangalia tu ile match ya ngao wanakwambia fulani/ timu yake bingwa msimu huu.? UsikuteWatu makini huwa hawaishii kutoa maoni kama hayo tu, ulitakiwa uende mbali zaidi. Mfano, kwenye hiyo orodha ya unaotaka waachwe, kuna wazawa akina Nyoni, Bocco, Mkude, Kennedy na Mwenda. Ulitakiwa uweke na orodha ya wazawa unaotaka wazibe nafasi hizo, kutoka JKT, Prisons, Azam, Coastal Union, Yanga etc. Ukiishia kutaja tu kuacha ambako ni rahisi halafu ukakwepa kutafuta ambako nako ni kama betting, hujui mchezaji akija atakuwaje, huo sio uungwana
Sasa kama scouting imefanyika na ikaonekana katika wazawa, hao akina Kenedy ndio wana nafuu zaidi, huoni hapo utakuwa hauna hoja?Hilo ni jukumu la Scouting