Ahmed Ally atupa dongo kwa Yanga, awaita Simba B baada ya Mwenda kutua kikosini na kuwa mchezaji wa 4 aliyecheza Simba kabla ya Yanga

Ahmed Ally atupa dongo kwa Yanga, awaita Simba B baada ya Mwenda kutua kikosini na kuwa mchezaji wa 4 aliyecheza Simba kabla ya Yanga

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Leo Jumatano, Desemba 11, 2024, mapema katika kuendeleza hamasa za klabu ya Simba kuelekea mchezo dhidi ya CS Sfaxien ya nchini Tunisia, Jumapili Desemba 15, Meneja wa Habari na Mawasiliano wa klabu hiyo, Ahmed Ally, akiwa katika maeneo ya Tandika, tawi la Kapu la Magori, alitoa dongo kwa Yanga kwa kuifananisha na Simba B.

Soma, Pia: Beki wa zamani wa Simba SC, Israel Mwenda atua Yanga kwa Mkopo akitokea Singida Big Stars

Kauli hiyo inakuja baada ya saa chache watani zao, kukamilisha usajili wa mkopo wa miezi sita (6) wa beki Israel Patrick Mwenda akitokea Singida Big Stars na kukamilisha idadi ya nyota wanne ndani ya kikosi cha Yanga ambao waliwahi kuitumikia Simba SC.

Nyota hao ni: Jonas Mkude, Clatous Chama, Jean Baleke na Israel Mwenda
 
Niyonzima
Kakolanya
Morrison
Ngasa
Gadiel Michael
Ajibu
Kaseja
Dida
Kaseja
Ivo mapunda
Okwi
N.k
Walitoka Yanga wakaenda Simba
Huyo Msemaji wa umbumbumbuni ndo akili yake ndogo

Mchezaji ni mfanyakazi sio Mwanachama anahama na anaangalia ramani zake apige pesa
 
Niyonzima
Kakolanya
Morrison
Ngasa
Gadiel Michael
Ajibu
Kaseja
Dida
Kaseja
Ivo mapunda
Okwi
N.k
Walitoka Yanga wakaenda Simba
Huyo Msemaji wa umbumbumbuni ndo akili yake ndogo

Mchezaji ni mfanyakazi sio Mwanachama anahama na anaangalia ramani zake apige pesa
Punguza makasiliko mkuu, semaji la CAF Ahmed Ally anazungumzia wakati huu
 
1. Okra.
2. Mkude.
3. Chama.
4. Baleke.
5. Mwenda.

SOKA LA BONGO BANA..

Uzuri wa Nchi hii utategemea "maneno matendo na mitazamo ya watanganyika".

JK NYERERE 9 DECEMBER 1961.
 
Niyonzima
Kakolanya
Morrison
Ngasa
Gadiel Michael
Ajibu
Kaseja
Dida
Kaseja
Ivo mapunda
Okwi
N.k
Walitoka Yanga wakaenda Simba
Huyo Msemaji wa umbumbumbuni ndo akili yake ndogo

Mchezaji ni mfanyakazi sio Mwanachama anahama na anaangalia ramani zake apige pesa
Mkuu ni kweli zile jezi za vitenge zilikuwa ni sare za maandilizi ya uzinduzi wa jina la wavikundi aka vicoba kwa kuishia hatua ya makundi? Au mtavuka mthibitishe si kweli?
 
Mkuu ni kweli zile jezi za vitenge zilikuwa ni sare za maandilizi ya uzinduzi wa jina la wavikundi aka vicoba kwa kuishia hatua ya makundi? Au mtavuka mthibitishe si kweli?
Usiongelee CAFCL kama timu lako lipo kwenye mashindano ya akina mama
 
Usiongelee CAFCL kama timu lako lipo kwenye mashindano ya akina mama
Kule sisi ni nyumbani, tupo likizo ya muda tu.

Mitaa yetu kwa sasa ni robo na tunaijua haswa hata majirani zetu nusu na fainali wanatambua ni suala la muda tu tutajenga makazi hiyo mitaa.
 
Kule sisi ni nyumbani, tupo likizo ya muda tu.

Mitaa yetu kwa sasa ni robo na tunaijua haswa hata majirani zetu nusu na fainali wanatambua ni suala la muda tu tutajenga makazi hiyo mitaa.
Kule haziendi timu zikizoshika nafasi ya 3
Kacheze mashindano ya akina mama yaani rede na upatu
 
Usiongelee CAFCL kama timu lako lipo kwenye mashindano ya akina mama
Ni kweli CAFCL ni mashindano ya hakina baba. Utopolo alijichanganya Sana kwenda kwenye mashindano yasiyomhusu ya hakina baba.

Ona sasa anavyobakwa na Kila jibaba huko alikovamia.
 
Ni kweli CAFCL ni mashindano ya hakina baba. Utopolo alijichanganya Sana kwenda kwenye mashindano yasiyomhusu ya hakina baba.

Ona sasa anavyobakwa na Kila jibaba huko alikovamia.
Mbumbumbu chezeni rede
CAFCL hamwezi kuelewa
 
Kituo kinachofuata
 

Attachments

  • FB_IMG_1733984517361.jpg
    FB_IMG_1733984517361.jpg
    31.7 KB · Views: 8
Niyonzima
Kakolanya
Morrison
Ngasa
Gadiel Michael
Ajibu
Kaseja
Dida
Kaseja
Ivo mapunda
Okwi
N.k
Walitoka Yanga wakaenda Simba
Huyo Msemaji wa umbumbumbuni ndo akili yake ndogo

Mchezaji ni mfanyakazi sio Mwanachama anahama na anaangalia ramani zake apige pesa
Ila haeakutoka kwa namba kubwa kama hii
 
Leo Jumatano, Desemba 11, 2024, mapema katika kuendeleza hamasa za klabu ya Simba kuelekea mchezo dhidi ya CS Sfaxien ya nchini Tunisia, Jumapili Desemba 15, Meneja wa Habari na Mawasiliano wa klabu hiyo, Ahmed Ally, akiwa katika maeneo ya Tandika, tawi la Kapu la Magori, alitoa dongo kwa Yanga kwa kuifananisha na Simba B.

Soma, Pia: Beki wa zamani wa Simba SC, Israel Mwenda atua Yanga kwa Mkopo akitokea Singida Big Stars

Kauli hiyo inakuja baada ya saa chache watani zao, kukamilisha usajili wa mkopo wa miezi sita (6) wa beki Israel Patrick Mwenda akitokea Singida Big Stars na kukamilisha idadi ya nyota wanne ndani ya kikosi cha Yanga ambao waliwahi kuitumikia Simba SC.

Nyota hao ni: Jonas Mkude, Clatous Chama, Jean Baleke na Israel Mwenda
Hayaa. Simba B imekuwa inaiahenyenta Simba A zaidi ya mara mara nne mfululizoooo😆😆😆😆😆😆
 
Niyonzima
Kakolanya
Morrison
Ngasa
Gadiel Michael
Ajibu
Kaseja
Dida
Kaseja
Ivo mapunda
Okwi
N.k
Walitoka Yanga wakaenda Simba
Huyo Msemaji wa umbumbumbuni ndo akili yake ndogo

Mchezaji ni mfanyakazi sio Mwanachama anahama na anaangalia ramani zake apige pesa
Kwani Hawa walikuwa Simba kwa wakati mmoja? Au hujaelewa kilichoandikwa ukakurupuka tu?
 
Back
Top Bottom