The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Vilio vimeanza
Sasa hivi hawasemi Tabora
Tunamaliza mwaka tupo pale namba 1
Mwaka upi?huu 2024? Kwahiyo unapiga hesabu mimi kufungwa na Singida?
Hamnazo wewe kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vilio vimeanza
Sasa hivi hawasemi Tabora
Tunamaliza mwaka tupo pale namba 1
Acha wafe tuuTutauwa mkuu
Apeleke maoni pale tff Kuna sanduku la maoni kama alivyokaririwa akiulizwa na waandishi wa habari baada ya magoli ya mchongo waliyomfunga Azam kule Zanzibar na Ile penalty walizopewa na mwamuzi dhidi ya Dodoma jiji, kilio chake sisi atuna cha kumsaidia,,koki zimefunguliwa kidogo tu mavi yanaanza kugonga chupi,,wakati yanga anapoteza walikuwa wanapiga vijembe tu sasa imekuwaje!!Ameandika Afisa Habari wa timu ya Simba @ahmedally_ [emoji116]
"Dodoma Jiji jana kafungwa magoli mawili ya Uwongo, Moja la Offside na pili Penati ya uongo lakini Kocha wao hajalalamika kuonewa wala kudhulumiwa zaidi amesema AMESTAHILI KUFUNGWA
Rejea mechi ya Dodoma Jiji Vs Simba, baada ya sisi kufunga goli la Penati ya halali alitoa mapovu kulaumu Waamuzi yote ni kuaminisha watu kuwa tumemdhulumu na kutaka kutia dosari kazi nzuri inayofanywa na Simba Sports msimu huu
Nimeyasema haya ili Wana Simba tuone vita ni kubwa iliyombele yetu ni namna gani Wapinzani hawapendi kufungwa na sisi lakini wanafurahi kufungwa na wengine, ndio maana haishangazi kuona tunapata ushindi wa jasho na damu
Wale wanaosema tunashinda lakini tunashikilia roho sio kwa sababu tuu ya ubora ni kwa sababu wapinzani wanauma meno kupitiliza na sisi ndio tunapenda ushindani wa aina hiyo
Kuelekea mechi zijazo Wana Simba tunapaswa kuunganisha nguvu kweli kweli, tupambane kwa nguvu sawa kuhakikisha tunatimiza malengo yetu
Nguvu Moja
Ubaya Uboya"View attachment 3185491
Hayo magoli mawili ya uongo tunayaondoa yanabaki mawili na makolo ondoeni goli mlilowafunga Dodoma Jiji muone mtabaki na mangapi?kocha wao anahaku akubali kipondo kwani hata akilalamika yapo magoli mengine ya hali anayoyakuli wewe kolo.Ameandika Afisa Habari wa timu ya Simba @ahmedally_ [emoji116]
"Dodoma Jiji jana kafungwa magoli mawili ya Uwongo, Moja la Offside na pili Penati ya uongo lakini Kocha wao hajalalamika kuonewa wala kudhulumiwa zaidi amesema AMESTAHILI KUFUNGWA
Rejea mechi ya Dodoma Jiji Vs Simba, baada ya sisi kufunga goli la Penati ya halali alitoa mapovu kulaumu Waamuzi yote ni kuaminisha watu kuwa tumemdhulumu na kutaka kutia dosari kazi nzuri inayofanywa na Simba Sports msimu huu
Nimeyasema haya ili Wana Simba tuone vita ni kubwa iliyombele yetu ni namna gani Wapinzani hawapendi kufungwa na sisi lakini wanafurahi kufungwa na wengine, ndio maana haishangazi kuona tunapata ushindi wa jasho na damu
Wale wanaosema tunashinda lakini tunashikilia roho sio kwa sababu tuu ya ubora ni kwa sababu wapinzani wanauma meno kupitiliza na sisi ndio tunapenda ushindani wa aina hiyo
Kuelekea mechi zijazo Wana Simba tunapaswa kuunganisha nguvu kweli kweli, tupambane kwa nguvu sawa kuhakikisha tunatimiza malengo yetu
Nguvu Moja
Ubaya Uboya"View attachment 3185491
😄🤣😂Piga kichwaniii bado wanapumua
Kabisa mkuu [emoji23][emoji23]Apeleke maoni pale tff Kuna sanduku la maoni kama alivyokaririwa akiulizwa na waandishi wa habari baada ya magoli ya mchongo waliyomfunga Azam kule Zanzibar na Ile penalty walizopewa na mwamuzi dhidi ya Dodoma jiji, kilio chake sisi atuna cha kumsaidia,,koki zimefunguliwa kidogo tu mavi yanaanza kugonga chupi,,wakati yanga anapoteza walikuwa wanapiga vijembe tu sasa imekuwaje!!
[emoji23][emoji23]Hayo magoli mawili ya uongo tunayaondoa yanabaki mawili na makolo ondoeni goli mlilowafunga Dodoma Jiji muone mtabaki na mangapi?kocha wao anahaku akubali kipondo kwani hata akilalamika yapo magoli mengine ya hali anayoyakuli wewe kolo.
Ili ukawekewe 'Mwiko Nyuma'?Mimi ni mwanasimba lia lia nataka nihamie yanga
I wish ningekuwa rais wa TFF! Hakika ningefutilia mbali hivi vyeo vya kuimba taarab kwenye mpira wetu wa miguu.Ameandika Afisa Habari wa timu ya Simba @ahmedally_ [emoji116]
"Dodoma Jiji jana kafungwa magoli mawili ya Uwongo, Moja la Offside na pili Penati ya uongo lakini Kocha wao hajalalamika kuonewa wala kudhulumiwa zaidi amesema AMESTAHILI KUFUNGWA
Rejea mechi ya Dodoma Jiji Vs Simba, baada ya sisi kufunga goli la Penati ya halali alitoa mapovu kulaumu Waamuzi yote ni kuaminisha watu kuwa tumemdhulumu na kutaka kutia dosari kazi nzuri inayofanywa na Simba Sports msimu huu
Nimeyasema haya ili Wana Simba tuone vita ni kubwa iliyombele yetu ni namna gani Wapinzani hawapendi kufungwa na sisi lakini wanafurahi kufungwa na wengine, ndio maana haishangazi kuona tunapata ushindi wa jasho na damu
Wale wanaosema tunashinda lakini tunashikilia roho sio kwa sababu tuu ya ubora ni kwa sababu wapinzani wanauma meno kupitiliza na sisi ndio tunapenda ushindani wa aina hiyo
Kuelekea mechi zijazo Wana Simba tunapaswa kuunganisha nguvu kweli kweli, tupambane kwa nguvu sawa kuhakikisha tunatimiza malengo yetu
Nguvu Moja
Ubaya Uboya"View attachment 3185491