Ahmed Ally: Dodoma Jiji amefungwa magoli ya uongo na Yanga

Ahmed Ally: Dodoma Jiji amefungwa magoli ya uongo na Yanga

Ameandika Afisa Habari wa timu ya Simba @ahmedally_ [emoji116]

"Dodoma Jiji jana kafungwa magoli mawili ya Uwongo, Moja la Offside na pili Penati ya uongo lakini Kocha wao hajalalamika kuonewa wala kudhulumiwa zaidi amesema AMESTAHILI KUFUNGWA

Rejea mechi ya Dodoma Jiji Vs Simba, baada ya sisi kufunga goli la Penati ya halali alitoa mapovu kulaumu Waamuzi yote ni kuaminisha watu kuwa tumemdhulumu na kutaka kutia dosari kazi nzuri inayofanywa na Simba Sports msimu huu

Nimeyasema haya ili Wana Simba tuone vita ni kubwa iliyombele yetu ni namna gani Wapinzani hawapendi kufungwa na sisi lakini wanafurahi kufungwa na wengine, ndio maana haishangazi kuona tunapata ushindi wa jasho na damu

Wale wanaosema tunashinda lakini tunashikilia roho sio kwa sababu tuu ya ubora ni kwa sababu wapinzani wanauma meno kupitiliza na sisi ndio tunapenda ushindani wa aina hiyo

Kuelekea mechi zijazo Wana Simba tunapaswa kuunganisha nguvu kweli kweli, tupambane kwa nguvu sawa kuhakikisha tunatimiza malengo yetu

Nguvu Moja

Ubaya Uboya"View attachment 3185491
Apeleke maoni pale tff Kuna sanduku la maoni kama alivyokaririwa akiulizwa na waandishi wa habari baada ya magoli ya mchongo waliyomfunga Azam kule Zanzibar na Ile penalty walizopewa na mwamuzi dhidi ya Dodoma jiji, kilio chake sisi atuna cha kumsaidia,,koki zimefunguliwa kidogo tu mavi yanaanza kugonga chupi,,wakati yanga anapoteza walikuwa wanapiga vijembe tu sasa imekuwaje!!
 
Wanaongoza ligi lakini wana wasi wasi
 

Attachments

  • IMG-20241222-WA0006.jpg
    IMG-20241222-WA0006.jpg
    55.6 KB · Views: 3
Ameandika Afisa Habari wa timu ya Simba @ahmedally_ [emoji116]

"Dodoma Jiji jana kafungwa magoli mawili ya Uwongo, Moja la Offside na pili Penati ya uongo lakini Kocha wao hajalalamika kuonewa wala kudhulumiwa zaidi amesema AMESTAHILI KUFUNGWA

Rejea mechi ya Dodoma Jiji Vs Simba, baada ya sisi kufunga goli la Penati ya halali alitoa mapovu kulaumu Waamuzi yote ni kuaminisha watu kuwa tumemdhulumu na kutaka kutia dosari kazi nzuri inayofanywa na Simba Sports msimu huu

Nimeyasema haya ili Wana Simba tuone vita ni kubwa iliyombele yetu ni namna gani Wapinzani hawapendi kufungwa na sisi lakini wanafurahi kufungwa na wengine, ndio maana haishangazi kuona tunapata ushindi wa jasho na damu

Wale wanaosema tunashinda lakini tunashikilia roho sio kwa sababu tuu ya ubora ni kwa sababu wapinzani wanauma meno kupitiliza na sisi ndio tunapenda ushindani wa aina hiyo

Kuelekea mechi zijazo Wana Simba tunapaswa kuunganisha nguvu kweli kweli, tupambane kwa nguvu sawa kuhakikisha tunatimiza malengo yetu

Nguvu Moja

Ubaya Uboya"View attachment 3185491
Hayo magoli mawili ya uongo tunayaondoa yanabaki mawili na makolo ondoeni goli mlilowafunga Dodoma Jiji muone mtabaki na mangapi?kocha wao anahaku akubali kipondo kwani hata akilalamika yapo magoli mengine ya hali anayoyakuli wewe kolo.
 
Mbona kama makolo wanaona sana wivu timu nyingine zinafungwa na Yanga, nadhani wanatamani wao tu ndio wafungwe na Yanga.

Ila sio kitu cha ajabu kwani uchungu wa mume anaujua mke
Ngoja tuwape mnara mwingine
 
Apeleke maoni pale tff Kuna sanduku la maoni kama alivyokaririwa akiulizwa na waandishi wa habari baada ya magoli ya mchongo waliyomfunga Azam kule Zanzibar na Ile penalty walizopewa na mwamuzi dhidi ya Dodoma jiji, kilio chake sisi atuna cha kumsaidia,,koki zimefunguliwa kidogo tu mavi yanaanza kugonga chupi,,wakati yanga anapoteza walikuwa wanapiga vijembe tu sasa imekuwaje!!
Kabisa mkuu [emoji23][emoji23]
 
Hayo magoli mawili ya uongo tunayaondoa yanabaki mawili na makolo ondoeni goli mlilowafunga Dodoma Jiji muone mtabaki na mangapi?kocha wao anahaku akubali kipondo kwani hata akilalamika yapo magoli mengine ya hali anayoyakuli wewe kolo.
[emoji23][emoji23]
 
Ameandika Afisa Habari wa timu ya Simba @ahmedally_ [emoji116]

"Dodoma Jiji jana kafungwa magoli mawili ya Uwongo, Moja la Offside na pili Penati ya uongo lakini Kocha wao hajalalamika kuonewa wala kudhulumiwa zaidi amesema AMESTAHILI KUFUNGWA

Rejea mechi ya Dodoma Jiji Vs Simba, baada ya sisi kufunga goli la Penati ya halali alitoa mapovu kulaumu Waamuzi yote ni kuaminisha watu kuwa tumemdhulumu na kutaka kutia dosari kazi nzuri inayofanywa na Simba Sports msimu huu

Nimeyasema haya ili Wana Simba tuone vita ni kubwa iliyombele yetu ni namna gani Wapinzani hawapendi kufungwa na sisi lakini wanafurahi kufungwa na wengine, ndio maana haishangazi kuona tunapata ushindi wa jasho na damu

Wale wanaosema tunashinda lakini tunashikilia roho sio kwa sababu tuu ya ubora ni kwa sababu wapinzani wanauma meno kupitiliza na sisi ndio tunapenda ushindani wa aina hiyo

Kuelekea mechi zijazo Wana Simba tunapaswa kuunganisha nguvu kweli kweli, tupambane kwa nguvu sawa kuhakikisha tunatimiza malengo yetu

Nguvu Moja

Ubaya Uboya"View attachment 3185491
I wish ningekuwa rais wa TFF! Hakika ningefutilia mbali hivi vyeo vya kuimba taarab kwenye mpira wetu wa miguu.
 
Back
Top Bottom