Ahmed Ally: Dodoma Jiji amefungwa magoli ya uongo na Yanga

Chizi huyo.
 
Huyo jamaq ni gay
 
Dodoma jiji wamefungwa unaona furaha kuanzia kwa kocha wao,viongozi, na wachezaji waol icha ya utata wa magoli mawili
Hii ni maajabu!

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Dodoma jiji katoa zawadi ya xmas point na magoli 4 - tena alitaka walau yafike 8 ili wapunguze tofauti ya magoli na Simba walaona dili lisije kumbumbukuka.
Tangu GSM aichukue uto - wamekuwa watu wa ujanja ujanja na ndiyo maana makundi africa watamaliza na point 3. Kule Africa kupanga dili ni ngumu.
 
Mbna Yanga ilivyodroo hamkusema hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…