Kuna timu ilikuwa mbovu msimu huu kama Horoya na Vipers?Yuko sahihi kabisa.kuna timu mlicheza nayo wachezaji walikua na kitete ata kutuliza mpira hawawezi.Timu zingine zimebaki majina tu.Uchochoro wenu ulikua laini sana.
Hawafiki popte wakileta ubahiliMudi mwambie msimu ujao aweke KIBUNDA aache kuokoteza wachezaji waliotemwa kwenye clubs zao ,aweke MPUNGA aache ubahili....AKiendekeza ubahili mtakuwa mnakufa kiume sana.
Ndyo walikua ni Azam na Namungo waliotukosesha ubingwa na kukututoa kombe la AzamYuko sahihi kabisa.kuna timu mlicheza nayo wachezaji walikua na kitete ata kutuliza mpira hawawezi.Timu zingine zimebaki majina tu.Uchochoro wenu ulikua laini sana.
Ukweli gani sasaTatizo la watanzania hampendi kuambiwa ukweli..
Na yanga kufika fainali ya Azam shirikisho imekutana na timu dhaifu.Ila ni kweli bwana, Mimi mwenyewe ni yanga ila tumepata mteremko sana
Ukweli kwamba Saido anawania tuzo ya uchezaji bora wa msimu wa NBC PL wakati hakuwahi hata kuwa mchezaji bora wa mwezi? vichekesho kabisa! Hizo asist plus goals hazikuwahi kuonekana mwezi wowote?Tatizo la watanzania hampendi kuambiwa ukweli..
Hapana huku kwetu haikuwa rahisi kama kule shirikishoNa yanga kufika fainali ya Azam shirikisho imekutana na timu dhaifu.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
PUMBA.Ukweli kwamba Saido anawania tuzo ya uchezaji bora wa msimu wa NBC PL wakati hakuwahi hata kuwa mchezaji bora wa mwezi? vichekesho kabisa! Hizo asist plus goals hazikuwahi kuonekana mwezi wowote?
Hongereni naona TFF inawatia moyo katika kombe la "KUFA KIUME"
Mambo ya kimataifa tuachie wanayanga, usije kufa kiume.
Endelea kujipa Imani Sasa.Hapana huku kwetu haikuwa rahisi kama kule shirikisho
Wakimataifa unatudhalilisha unakandwa nyumbani ulikuwa unakutana na vibondeUkweli kwamba Saido anawania tuzo ya uchezaji bora wa msimu wa NBC PL wakati hakuwahi hata kuwa mchezaji bora wa mwezi? vichekesho kabisa! Hizo asist plus goals hazikuwahi kuonekana mwezi wowote?
Hongereni naona TFF inawatia moyo katika kombe la "KUFA KIUME"
Mambo ya kimataifa tuachie wanayanga, usije kufa kiume.
Kama hauja wahi kucheza hilo kombe nyoosha mkonoKwani ni uongo? Kombe la shirikisho si ni la timu zilizofeli champions league au? (Loosers cup by Manara). Kwa maana nyingine ni sawa na umewapa mtihani mdogo wanafunzi waliofeli mtihani mkubwa halafu matokeo yake ni lazima kuwe na wa kwanza hadi wa mwisho tena kwa wale wale waliofeli. Na wa kwanza anaweza pata maksi 1 kati ya 100 na wengine wakapata 0. Hiki ndio kitu kimetokea kwa Yanga mwaka huu.
Evidence [emoji41]Simba ilikuwa Bora kuliko yanga huu msimu amini usiamini
Akijibu nitag.Kama hauja wahi kucheza hilo kombe nyoosha mkono
Wewe ulifeli Mara ngapiShirikisho ni la waliofeli yanga
Graduate wa madrasa ya MUM huyo rafiki yake cocastic na jirani yake katukutumeni a.k.a Popoma graduate wa SAUTI ndio maana uwezo wao ni mdogo sana.
Madrassa iloyoboreshwa ile na sio University.Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu pole sana,nadhan umekariri kuwa chuo fulani ndipo kuna graduate wa maana kama kile chuo cha jalalan