Tetesi: Ahmed Ally Kutupiwa virago Simba?

Tetesi: Ahmed Ally Kutupiwa virago Simba?

Ahmed Ally ni kiungo mzuri sana kati ya timu na masbabiki, ila hajui kuisemea tim. Anapenda sana kuisemea Yanga kuliko kuisemea Simba. Wakati mwingine anadhanai inaisadia Simba kwa yeye kuikandia Yanga, lakini kwenye media tunafundishwa kuwa negative publicity nayo ni publicity tu, kwa hiyo muda anaotumia kuikandia Yanga huwa anaitanganza Yanga bila kujijua tu. Ajifunze kuwa ana focus mambo ya Simba tu, na anapoulizwa mambo ya Yanga ajibu tu kuwa "hayatuhusu sisi Simba".
 
Ahmed Ally ni kiungo mzuri sana kati ya timu na masbabiki, ila hajui kuisemea tim. Anapenda sana kuisemea Yanga kuliko kuisemea Simba. Wakati mwingine anadhanai inaisadia Simba kwa yeye kuikandia Yanga, lakini kwenye media tunafundishwa kuwa negative publixcity nayo ni publicitry tu, kwa hiyo muda anaotumia kuikandia Yanga huwa anaitanganza Yanga bila kujijua tu.
Haswaa
 
Otherwise huyu Bwana akiwemo simba mtegemeeee vipigoo yaan kuna mechi yanga wakipanga kudrw na simba kwa maneno yake machafu waanamua kuwaadhibu hatakama walipanga drw na simba
 
 
Otherwise huyu Bwana akiwemo simba mtegemeeee vipigoo yaan kuna mechi yanga wakipanga kudrw na simba kwa maneno yake machafu waanamua kuwaadhibu hatakama walipanga drw na simba
Mmefikia kiwango hiki cha uongo.
Uongo + Uchawi + Fitna = ?!!
 
Back
Top Bottom