Waache ushirikina wataipata usingizi na kulala
Wamfukuze Kocha Objektivu wataipata usingizi na kulala
Wampe Timu Matola watapatae Usingizi
Wampange Kipa AYOUBUUUU lakraneee golini cku hiyo watalala
Boko na Miqueson, waanze ktk hiyo Mechi, watalala
Rais wa Heshima aeleze alikopeleka B20 watalala,
Waeleze Rais wa Heshima anateua bodi ya washauri kama nani!? na Katiba ipi inayompa hiyo power ya kushindwa kumteua Mzee Akilimali kuwa mjumbe kama mzee Dalali...!!! Watapata Usingizi na kulala
Pia sio kwa umuhimu lkn wapeleke Sadaka kwa Tapeli Askofu Mashimo, waliyemdhulumu Sadaka watapata Usingizi..
Mengine mengine wanayajua wenyewe kama Ndg, Rage alivyokuwa sahihi...[emoji41][emoji41][emoji41]
Watafungwa goli Chache kuanzia 3,,, lkn wahakikishe three Marogo style inatumika kwa waamuzi....hapa uhakika wa KULALA ni [emoji817]
Sent from my M10_Max using
JamiiForums mobile app