Ficha ujinga wako hapa chini picha ya pili ni watu waliopata matokeo haya leo kati ya hizo timu ngapi ziko hatua iliyofata?Kubwa jinga la First leg ni timu ambayo haina medals yoyote ya CAF, kwenye orodha hiyo timu zote zina medals kasoro iliyopigwa
View attachment 2949837
Nasikia walijaa ambao ilikua ndoto yao kwenda benjamin mkapa..na sio wenye timu...hahahhaKazi yake ni kuhamasisha, na kusema kweli jamaa anajua kuhamasisha.
Angalia mechi yetu, pamoja na kwamba tuliweka kiingilio, lakini uwanja ulitapika Kwa kujaza mashabiki elfu 47 plus
Wenzetu pamoja na kutoweka kiingilio, yaani Wazee wa bure bure lakini hawakuweza kufikisha Idadi ya mashabiki wetu 🤗
Nasikia walijaa ambao ilikua ndoto yao kwenda benjamin mkapa..na sio wenye timu...hahahha
Aibu hii kwa Taifa
Watu kama huyo msemaji wanakuwepo kwa sababu kuna maelfu ya wajinga kama wewe ambao mnawafanya wastawi. Kitu gani msichojua kuhusu hizi timu za Yanga na Simba? Hizi timu typically zinaendeshwa kwa kutumia culture ya watu wa Pwani ambayo ni kufanya kazi kwa kutumia mdomo. Miaka nenda miaka rudi mnadanganyika kupoteza muda wenu kwa mambo ya kijinga kama hizi porojo.Kuwa Msemaji wa timu, tena kubwa kama Simba au Yanga, si lazima uwe unamwaga porojo na ndoto ambazo si rahisi kutimizika.
Kabla ya mechi ya Al Ahly Benjamin Mkapa, Ahmed Ally aliwaaminisha washabiki na wanachama wa Simba kuwa Ahly anakufa kifo kibaya na HATOKI BENJAMIN MKAPA.
Baada ya kupigwa kimoja cha dakika ya 5, Ahmed Ally sasa amekuja na SIMBA, TIMU YA MAAJABU.Amedai kuwa Simba itaenda kufanya maajabu kule Cairo, Misri. Eti, imeshawahi kufanya maajabu makubwa huko nyuma.
Hadi sasa, Simba ndiye pekee aliyefungwa kwenye awamu ya kwanza ya robo fainali ya ACCL. Tena amepigwa nyumbani...akashindwa hata kutumia mwiko au jengo kujilinda. Washindi wenzake wengine wa pili, akiwemo Yanga, wamepata suluhu nyumbani kwao.
Ahmed Ally, Mungu anakuona. Endelea tu kuwajaza upepo mashabiki na wanachama wa Simba. Ila tambua kuwa Yanga inatinga nusu fainali kwa mechi ya ugenini kwa Madiba...sare yoyote ya magoli inaivusha Yanga...timu ya wananchi!
Mtoa mada ni UTO, na huko UTO wenye akili ni wawili tu kwahiyo msimshangae hayumo kwenye wale wawiliMsimuharibie kijana mkate wake wa kila siku,yeye siyo Kocha.....hamasa zake na maneno yake ni kwenda kujaza uwanja.........Benchi la ufundi ni kiwanjani kumlaumu ahamed kwa matokeo ni zaidi ya umbumbumbu aliousema Rage
Yanga wasirùdie tena huu upuuzi wataua watu
Kwa kweli, yaani tunaweza kupoteza maisha ya watu wengi Kwa Ujinga huoYanga wasirùdie tena huu upuuzi wataua watu
Bila shaka wao watakuwa wanacheza au kupanga kikosi.Ukiona tu simba imefungwa, basi chanzo kikuu ni Ahmed Ally na Mwenyekiti Mangungu. Haya malalamiko hata shabiki mwenzangu @Kalpana anayafahamu.
Wanayo ya final ya 1992 au 93 waliyopigwa Uhuru Stadium mbele ya Ali Hassan Mwinyi.Kubwa jinga la First leg ni timu ambayo haina medals yoyote ya CAF, kwenye orodha hiyo timu zote zina medals kasoro iliyopigwa
View attachment 2949837
😂😂😂Mbona unahasira mkuu,then hawa wote kwenye nchi zao ndiyo mabingwa kasoro Simba,nimekuongezea fact nyingineFicha ujinga wako hapa chini picha ya pili ni watu waliopata matokeo haya leo kati ya hizo timu ngapi ziko hatua iliyofata?
Picha ya kwanza na nyie mlikua ma tunyenye mliopokea kipigo kitakatifu...
View attachment 2949969View attachment 2949967
Mkuu pumzika kidogo kunywa hata fundo la majiMtoa mada ni UTO, na huko UTO wenye akili ni wawili tu kwahiyo msimshangae hayumo kwenye wale wawili
Kumbuka mwaka 93 pia walikimbia kurudi kipindi cha pili baada ya Yanga kuongoza First half 3-0Wanayo ya final ya 1992 au 93 waliyopigwa Uhuru Stadium mbele ya Ali Hassan Mwinyi.
Acha uzwazwa..kwani simba hajawai kuwa bingwa? Mbona kama mnakua malimbukeni?😂😂😂Mbona unahasira mkuu,then hawa wote kwenye nchi zao ndiyo mabingwa kasoro Simba,nimekuongezea fact nyingine View attachment 2950192