Ahmed Ally semaji la Simba linavutia sana linavyoongea na zile mbwembwe

Ahmed Ally semaji la Simba linavutia sana linavyoongea na zile mbwembwe

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Kusema ukweli uongeaji wa semaji unavutia sana hasa anavyokazia maneno na ile tone yake pamoja na maneno na vikorombwezo kibao anavyomix wakati wa uongeaji.

Na kinachochekesha zaidi na kufurahisha ni ule u seriousness wake wakati anaongea.

Hakika semaji tunakukubali.
 
Acha ujinga Tanzania kila mtu maarufu anapelekewa moto ni ujinga sana kusingizia watu mambo ya hovyo. Usiniingize kwenye hii dhambi ya kusingizia watu mabaya.
Wewe kuna kitu unataka tu kumzulia...unataka watu waje hapa wakikwa na concept za uzi wa Nifah waanze kusema jamaa anapakuliwa.

Nimekugundua
 
Mwanaume mwenzio anakuvutia?

Kivipi yaani?

Kwa jipya gani aliloongea?

Weee jamaa, au Kuna kitu unataka?

Siyo mbaya mpe maua yake ili uridhishe nafsi yako.
Kuvutiwa na mtu unaemkubali imekuwa nongwa siku hizi kweli tabia zenu za kichoko zinawaathiri sana. Hata mantiki ya kawaida mnainasibisha na uchoko hebu tutoleeni ujinga wenu hapa.
 
Back
Top Bottom