Ahmed Ally semaji la Simba linavutia sana linavyoongea na zile mbwembwe

Ahmed Ally semaji la Simba linavutia sana linavyoongea na zile mbwembwe

Kusema ukweli uongeaji wa semaji unavutia sana hasa anavyokazia maneno na ile tone yake pamoja na maneno na vikorombwezo kibao anavyomix wakati wa uongeaji.

Na kinachochekesha zaidi na kufurahisha ni ule u seriousness wake wakati anaongea.

Hakika semaji tunakukubali.
Jamaa huwa anaongea pumba kweli; hana mpangilio wa maneno zaid ya kupandisha na kushusa sauti kwa majigambo tu. Nadhani aachane na usemaji ajikite kwete kuuza magari tu kwani kazi hiyo anaifanya kwa ufanisi mzuri zaidi.
 
Hawa madogo wa siku hizi ni mafala sana aisee, yaani mawazo yao yamekuwa yanawaza ujinga sana, haiwezi kupita post hawajahusisha na upumbavu wajinga sana hawa.
Wakati mwingine unayaacha yaonyeshe ujinga wao kwani kimtokacho mtu ndicho kilichoujaza moyo wake.
 
Back
Top Bottom