Dogo ni Yanga mzuri Sana yule πBahati mbaya sana anamezwa na kukosa makombe na performance ya timu. Yule jamaa siku timu ikinyanyua kwapa atakuja kuwehuka kwa raha
Wewe kuna kitu unataka tu kumzulia...unataka watu waje hapa wakikwa na concept za uzi wa Nifah waanze kusema jamaa anapakuliwa.
Nimekugundua
Mkuu Tuko pamoja kimya kimyaaaaaaa..si unajua hata class kuna watu huwaga wapo kama hawapo hivii, sasa jichanganye ulete paper ndio utajua oohooh!!!ππππMkuu naona mahudhurio yako kule sio mabaya, umetoka na vitu π€£π€£βπ½
Kuvutiwa na mtu unaemkubali imekuwa nongwa siku hizi kweli tabia zenu za kichoko zinawaathiri sana. Hata mantiki ya kawaida mnainasibisha na uchoko hebu tutoleeni ujinga wenu hapa.Mwanaume mwenzio anakuvutia?
Kivipi yaani?
Kwa jipya gani aliloongea?
Weee jamaa, au Kuna kitu unataka?
Siyo mbaya mpe maua yake ili uridhishe nafsi yako.
Semaji lenye Nuksi, semaji lenye mikosi hilo.Bahati mbaya sana anamezwa na kukosa makombe na performance ya timu. Yule jamaa siku timu ikinyanyua kwapa atakuja kuwehuka kwa raha
Kile kicheko ndio balaa zaidi!Kanaongea kama ka punga
Simba wakati anachukua kombe la robo final mwaka jana ahmed alikuwa bado sio msemaji?Bahati mbaya sana anamezwa na kukosa makombe na performance ya timu. Yule jamaa siku timu ikinyanyua kwapa atakuja kuwehuka kwa raha