UMUGHAKA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 2,753
- 12,932
Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!.
Inashangaza kumuona Ikulu mtu ambaye amekuwa akiponda mafanikio ya Yanga.
Ikumbukwe kilichowakutanisha wadau wa michezo hapo Ikulu ni Young Africans, sasa ajabu ni kwamba wapo watu ambao wamekuwa hawayafurahii mafanikio ya klabu pendwa Afrika Mashariki na Kati Young Africans.
Je, Ahmed Ally anayasaliti maneno yake kwa kusema "Wanaume wote wa Iringa ni Malaya" Ajabu ni kwamba Mwanaume kutoka Iringa anamuoa dada yake Ahmed Ally na yeye amekuwa wa Kwanza kuvaa kijora na kusherehekea uwepo wa Shemeji yake kutoka Iringa. Hii ina maana gani?Je, kawakubali wanaume wa Iringa au ameelewa shoo za watu wa Iringa au dada yake alimsimulia utamu wa wanaume wa Iringa?
ONYO & TAHADHARI:
Njoo kwa Tahadhari!.
Inashangaza kumuona Ikulu mtu ambaye amekuwa akiponda mafanikio ya Yanga.
Ikumbukwe kilichowakutanisha wadau wa michezo hapo Ikulu ni Young Africans, sasa ajabu ni kwamba wapo watu ambao wamekuwa hawayafurahii mafanikio ya klabu pendwa Afrika Mashariki na Kati Young Africans.
Je, Ahmed Ally anayasaliti maneno yake kwa kusema "Wanaume wote wa Iringa ni Malaya" Ajabu ni kwamba Mwanaume kutoka Iringa anamuoa dada yake Ahmed Ally na yeye amekuwa wa Kwanza kuvaa kijora na kusherehekea uwepo wa Shemeji yake kutoka Iringa. Hii ina maana gani?Je, kawakubali wanaume wa Iringa au ameelewa shoo za watu wa Iringa au dada yake alimsimulia utamu wa wanaume wa Iringa?
ONYO & TAHADHARI:
Njoo kwa Tahadhari!.