Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Alieleza watakayokirimiwa (in details)au aliongea kiujumlajumla ili kudanganya watu sampuli yako mwanaharamu apite?Siri gani nawakati enginer alifanya press conference akaongea wazi wazi kwamba wanaomba msaada kwa mashabiki wanaoenda south afrika
Acha uongo na upotoshaji
Jenga hoja bila kutumia uongo na upotoshaji
Enginer aliomba msaada wazi wazi na video zipo hayo ya kukirimiwa au kiujumlajumlaAlieleza watakayokirimiwa (in details)au aliongea kiujumlajumla ili kudanganya watu sampuli yako mwanaharamu apite?
Ebu kwanza Tenganisha alipoishia msemaji nayalipoanzia maoni yako.View attachment 2952641
Baadhi ya Mashabiki wa Simba waliojilipia nauli zao kusafiri kwenda kuipa support timu yao Nchini Misri
Kila shabiki amejilipia Dola 1200 sawa na Milioni 3,126,000.
Hili swala la Serikali kusafirisha Mashabiki nitatoa maoni yangu nikimalizana na Al Ahly, Sasa hivi akili inawaza namna ya kufuzu Nusu Fainali, Ila msimamo wangu ni kwamba si jambo jema hata kidogo.
Kwa Mashabiki mpira ni starehe hivyo Serikali haiwezi kugharamia watu kwenda kustarehe.
Tena bora ingekua imetoa usafiri tu. Lakini wametoa Posho Dola 500 kila kichwa sawa na Milioni 1,200,000 kwa ufupi hawa Mashabiki wamenuniliwa na wanalipwa kuishangilia timu yao.
Na hao sio Mashabiki wa kawaida ni Machawa wanaotetea maslahi ya viongozi wao yaani Serikali imelipia Machawa wa watu.
Kuwalipia nauli sio kuwapenda ni kufuga tatizo ambalo baadae hatutaweza kulitatua.
Leo unalipia mashabiki wa klabu, kesho Ali Kiba ataiomba Serikali iwagharamie mashabiki wake kwenda Marekani kufanya show utamnyima?
Twaha Kiduku ataomba aende kupigana Uingereza na mashabiki wake utamnyima??
Halafu nyie Nyuma Mwiko acheni kuzuga huwezi kulipia nauli watu 48 ukajidai eti unawapenda mashabiki zenu, Wakati kwenye mechi yenu juzi Mashabiki wameumia, wamepigwa mabomu ya machozi, watu wamepata vilema, na hamjasema chochote halafu uje uzuge eti unawapenda watu wenu.
Ndugu zangu wana Simba hili swala lisiwatie unyonge na wala Serikali yetu haina nia ya kufanya ubaguzi.
Sisi tuendelee na utamaduni wetu kujisimamia tukipata msaada tutachukua lakini katu tusilemae kusubiri dezo.
We are Simba Sisi ni Wakubwa, Sisi ni Wafalme, Sisi tuna hadhi kubwa
Lets focus na mechi yetu ya Ijumaa.
Kwa hiyo hata kura zetu hawazitaki tena?View attachment 2952641
Baadhi ya Mashabiki wa Simba waliojilipia nauli zao kusafiri kwenda kuipa support timu yao Nchini Misri
Kila shabiki amejilipia Dola 1200 sawa na Milioni 3,126,000.
Hili swala la Serikali kusafirisha Mashabiki nitatoa maoni yangu nikimalizana na Al Ahly, Sasa hivi akili inawaza namna ya kufuzu Nusu Fainali, Ila msimamo wangu ni kwamba si jambo jema hata kidogo.
Kwa Mashabiki mpira ni starehe hivyo Serikali haiwezi kugharamia watu kwenda kustarehe.
Tena bora ingekua imetoa usafiri tu. Lakini wametoa Posho Dola 500 kila kichwa sawa na Milioni 1,200,000 kwa ufupi hawa Mashabiki wamenuniliwa na wanalipwa kuishangilia timu yao.
Na hao sio Mashabiki wa kawaida ni Machawa wanaotetea maslahi ya viongozi wao yaani Serikali imelipia Machawa wa watu.
Kuwalipia nauli sio kuwapenda ni kufuga tatizo ambalo baadae hatutaweza kulitatua.
Leo unalipia mashabiki wa klabu, kesho Ali Kiba ataiomba Serikali iwagharamie mashabiki wake kwenda Marekani kufanya show utamnyima?
Twaha Kiduku ataomba aende kupigana Uingereza na mashabiki wake utamnyima??
Halafu nyie Nyuma Mwiko acheni kuzuga huwezi kulipia nauli watu 48 ukajidai eti unawapenda mashabiki zenu, Wakati kwenye mechi yenu juzi Mashabiki wameumia, wamepigwa mabomu ya machozi, watu wamepata vilema, na hamjasema chochote halafu uje uzuge eti unawapenda watu wenu.
Ndugu zangu wana Simba hili swala lisiwatie unyonge na wala Serikali yetu haina nia ya kufanya ubaguzi.
Sisi tuendelee na utamaduni wetu kujisimamia tukipata msaada tutachukua lakini katu tusilemae kusubiri dezo.
We are Simba Sisi ni Wakubwa, Sisi ni Wafalme, Sisi tuna hadhi kubwa
Lets focus na mechi yetu ya Ijumaa.
Ki uhalisia hakupaswa kuongea hata kma mawazo yake ni mazuri ila pia Serikali ielekeze nguvu kwenye project za michezo ambako huko hali si nzuri hasa mashuleni huku kwa hivi vilabu mi naona ni kama wanataka sifa za kisiasa
Aisee sikuwahi kufikiria kama serikali yetu ina watu majuha wa kiwango hiki.Kwa hili nadhani yuko sahihi hizo pesa Bora zingepelekwa kwenye michezo ya vijana mashuleni
Aisee sikuwahi kufikiria kama serikali yetu ina watu majuha wa kiwango hiki.
Unadhani ni sawa kwa serikali kugharamia nauli kwa mashabiki wa club ambao kimsingi huwa wanatoa ada za uanachama na kuchanga michango mbalimbali kwa team Yao!?Aisee sikuwahi kufikiria kama serikali yetu ina watu majuha wa kiwango hiki.
Amekosea tusimpe majina mabaya sana mkuu pengine hata na yeye alipenda kufika huko bbc ila sio rahisi namna hiyoAhmed ally wakati yupo Azam
Was very professional guy , nilikuwa namtazamia sehemu kama BBC , but tangu aende SSC , amepotea kabisa.
Waajiri wakubwa wote wanaajiri kwa kufuatilia social records za watu , now he does not look smart anyhow; he looks dumb and stupid kama ilivyo kwa ally kamwe .
Wanajitia uchizi bila ya kujua kuwa ni vijana wana long career path . Mm kwangu Usemaji wa SSC na Yanga sioni Kama ni ajira Rasmi.
Wanatakiwa ku maintain status zao maana kuna leo na Kesho.
Pia kwenye miiko ya habari, kuna vitu vingine unaweza kupenyeza hata kwa Ac fake na sio kwa official Account yako….. manaa amesha ruin reputation yake.
Maana unahoji uhalali wa serikali, ni sawa but you can’t use your officiai page , ndio maana nasema the guy is dumb now
Very soon mtaona matokeo ya kauli yake, ndio mjue vijana huwa wanapapara na wanajifelisha wenyewe. Vijana ni impatient and mindless
AhaaaaaSizitaki mbichi hizi
Atasingizia amedukuliwa.Ahmed ally wakati yupo Azam
Was very professional guy , nilikuwa namtazamia sehemu kama BBC , but tangu aende SSC , amepotea kabisa.
Waajiri wakubwa wote wanaajiri kwa kufuatilia social records za watu , now he does not look smart anyhow; he looks dumb and stupid kama ilivyo kwa ally kamwe .
Wanajitia uchizi bila ya kujua kuwa ni vijana wana long career path . Mm kwangu Usemaji wa SSC na Yanga sioni Kama ni ajira Rasmi.
Wanatakiwa ku maintain status zao maana kuna leo na Kesho.
Pia kwenye miiko ya habari, kuna vitu vingine unaweza kupenyeza hata kwa Ac fake na sio kwa official Account yako….. manaa amesha ruin reputation yake.
Maana unahoji uhalali wa serikali, ni sawa but you can’t use your officiai page , ndio maana nasema the guy is dumb now
Very soon mtaona matokeo ya kauli yake, ndio mjue vijana huwa wanapapara na wanajifelisha wenyewe. Vijana ni impatient and mindless
Usingizi😂😂😂😂Starehe gani haina maumivu 😂😂
kwani hao waliopigwa mabomu ni mashabiki wa yanga tu?View attachment 2952641
Baadhi ya Mashabiki wa Simba waliojilipia nauli zao kusafiri kwenda kuipa support timu yao Nchini Misri
Kila shabiki amejilipia Dola 1200 sawa na Milioni 3,126,000.
Hili swala la Serikali kusafirisha Mashabiki nitatoa maoni yangu nikimalizana na Al Ahly, Sasa hivi akili inawaza namna ya kufuzu Nusu Fainali, Ila msimamo wangu ni kwamba si jambo jema hata kidogo.
Kwa Mashabiki mpira ni starehe hivyo Serikali haiwezi kugharamia watu kwenda kustarehe.
Tena bora ingekua imetoa usafiri tu. Lakini wametoa Posho Dola 500 kila kichwa sawa na Milioni 1,200,000 kwa ufupi hawa Mashabiki wamenuniliwa na wanalipwa kuishangilia timu yao.
Na hao sio Mashabiki wa kawaida ni Machawa wanaotetea maslahi ya viongozi wao yaani Serikali imelipia Machawa wa watu.
Kuwalipia nauli sio kuwapenda ni kufuga tatizo ambalo baadae hatutaweza kulitatua.
Leo unalipia mashabiki wa klabu, kesho Ali Kiba ataiomba Serikali iwagharamie mashabiki wake kwenda Marekani kufanya show utamnyima?
Twaha Kiduku ataomba aende kupigana Uingereza na mashabiki wake utamnyima??
Halafu nyie Nyuma Mwiko acheni kuzuga huwezi kulipia nauli watu 48 ukajidai eti unawapenda mashabiki zenu, Wakati kwenye mechi yenu juzi Mashabiki wameumia, wamepigwa mabomu ya machozi, watu wamepata vilema, na hamjasema chochote halafu uje uzuge eti unawapenda watu wenu.
Ndugu zangu wana Simba hili swala lisiwatie unyonge na wala Serikali yetu haina nia ya kufanya ubaguzi.
Sisi tuendelee na utamaduni wetu kujisimamia tukipata msaada tutachukua lakini katu tusilemae kusubiri dezo.
We are Simba Sisi ni Wakubwa, Sisi ni Wafalme, Sisi tuna hadhi kubwa
Lets focus na mechi yetu ya Ijumaa.
Ikishafika hatua ya kuumiza sio starehe Tena hiyo. Watu wanashindwa tofautisha burudani (viburudisho) na stareheStarehe gani isiyo na maumivu kiongozi.... Hata Bangi ukivuta kupitia kiasi Ina maumivu, ukinyanduana kupita kiwango maumivu yapo tu .. ukinywa pombe kupitiliza maumivu yapo tu ..... Juzi kati tu hapa timu ya netball imekosa nauli ..na Serikali ipo...Biashara walishindwa kusafirisha timu kwenda Libya Serikali olikuwapo tu ... Mimi Yanga ila hii sio sawa.