Ahmed Ally: Si jambo jema hata kidogo Serikali kutoa Posho ya 1.2M pamoja na Usafiri kwa Mashabiki wa Yanga, Mpira ni Starehe

Ahmed Ally: Si jambo jema hata kidogo Serikali kutoa Posho ya 1.2M pamoja na Usafiri kwa Mashabiki wa Yanga, Mpira ni Starehe

Siri gani nawakati enginer alifanya press conference akaongea wazi wazi kwamba wanaomba msaada kwa mashabiki wanaoenda south afrika
Acha uongo na upotoshaji

Jenga hoja bila kutumia uongo na upotoshaji
Alieleza watakayokirimiwa (in details)au aliongea kiujumlajumla ili kudanganya watu sampuli yako mwanaharamu apite?
 
  1. Football,Soka,kabumbu,mpira wa miguu ni ajira kubwa sana,
  2. Football ni biashara yenye mtandao mkubwa
  3. Football inaleta utulivu,amani,furaha na kiburudisho
  4. Football ni lugha wanayo ongea watu wa makabila yote duniani bila kujali rangi,umri,itikadi,mila na desturi
  5. Football inaongeza pato la Taifa lolote yaani ni moja ya chanzo cha kodi za serikali
  6. ..Football.......
 
View attachment 2952641
Baadhi ya Mashabiki wa Simba waliojilipia nauli zao kusafiri kwenda kuipa support timu yao Nchini Misri

Kila shabiki amejilipia Dola 1200 sawa na Milioni 3,126,000.

Hili swala la Serikali kusafirisha Mashabiki nitatoa maoni yangu nikimalizana na Al Ahly, Sasa hivi akili inawaza namna ya kufuzu Nusu Fainali, Ila msimamo wangu ni kwamba si jambo jema hata kidogo.

Kwa Mashabiki mpira ni starehe hivyo Serikali haiwezi kugharamia watu kwenda kustarehe.

Tena bora ingekua imetoa usafiri tu. Lakini wametoa Posho Dola 500 kila kichwa sawa na Milioni 1,200,000 kwa ufupi hawa Mashabiki wamenuniliwa na wanalipwa kuishangilia timu yao.

Na hao sio Mashabiki wa kawaida ni Machawa wanaotetea maslahi ya viongozi wao yaani Serikali imelipia Machawa wa watu.

Kuwalipia nauli sio kuwapenda ni kufuga tatizo ambalo baadae hatutaweza kulitatua.

Leo unalipia mashabiki wa klabu, kesho Ali Kiba ataiomba Serikali iwagharamie mashabiki wake kwenda Marekani kufanya show utamnyima?

Twaha Kiduku ataomba aende kupigana Uingereza na mashabiki wake utamnyima??

Halafu nyie Nyuma Mwiko acheni kuzuga huwezi kulipia nauli watu 48 ukajidai eti unawapenda mashabiki zenu, Wakati kwenye mechi yenu juzi Mashabiki wameumia, wamepigwa mabomu ya machozi, watu wamepata vilema, na hamjasema chochote halafu uje uzuge eti unawapenda watu wenu.

Ndugu zangu wana Simba hili swala lisiwatie unyonge na wala Serikali yetu haina nia ya kufanya ubaguzi.

Sisi tuendelee na utamaduni wetu kujisimamia tukipata msaada tutachukua lakini katu tusilemae kusubiri dezo.

We are Simba Sisi ni Wakubwa, Sisi ni Wafalme, Sisi tuna hadhi kubwa

Lets focus na mechi yetu ya Ijumaa.
Ebu kwanza Tenganisha alipoishia msemaji nayalipoanzia maoni yako.
 
View attachment 2952641
Baadhi ya Mashabiki wa Simba waliojilipia nauli zao kusafiri kwenda kuipa support timu yao Nchini Misri

Kila shabiki amejilipia Dola 1200 sawa na Milioni 3,126,000.

Hili swala la Serikali kusafirisha Mashabiki nitatoa maoni yangu nikimalizana na Al Ahly, Sasa hivi akili inawaza namna ya kufuzu Nusu Fainali, Ila msimamo wangu ni kwamba si jambo jema hata kidogo.

Kwa Mashabiki mpira ni starehe hivyo Serikali haiwezi kugharamia watu kwenda kustarehe.

Tena bora ingekua imetoa usafiri tu. Lakini wametoa Posho Dola 500 kila kichwa sawa na Milioni 1,200,000 kwa ufupi hawa Mashabiki wamenuniliwa na wanalipwa kuishangilia timu yao.

Na hao sio Mashabiki wa kawaida ni Machawa wanaotetea maslahi ya viongozi wao yaani Serikali imelipia Machawa wa watu.

Kuwalipia nauli sio kuwapenda ni kufuga tatizo ambalo baadae hatutaweza kulitatua.

Leo unalipia mashabiki wa klabu, kesho Ali Kiba ataiomba Serikali iwagharamie mashabiki wake kwenda Marekani kufanya show utamnyima?

Twaha Kiduku ataomba aende kupigana Uingereza na mashabiki wake utamnyima??

Halafu nyie Nyuma Mwiko acheni kuzuga huwezi kulipia nauli watu 48 ukajidai eti unawapenda mashabiki zenu, Wakati kwenye mechi yenu juzi Mashabiki wameumia, wamepigwa mabomu ya machozi, watu wamepata vilema, na hamjasema chochote halafu uje uzuge eti unawapenda watu wenu.

Ndugu zangu wana Simba hili swala lisiwatie unyonge na wala Serikali yetu haina nia ya kufanya ubaguzi.

Sisi tuendelee na utamaduni wetu kujisimamia tukipata msaada tutachukua lakini katu tusilemae kusubiri dezo.

We are Simba Sisi ni Wakubwa, Sisi ni Wafalme, Sisi tuna hadhi kubwa

Lets focus na mechi yetu ya Ijumaa.
Kwa hiyo hata kura zetu hawazitaki tena?

Wana simba kazi kwetu uchaguzi ujao...
Wacha wapigiwe kura na wana Utopolo tu dadeki!
 
Ki uhalisia hakupaswa kuongea hata kma mawazo yake ni mazuri ila pia Serikali ielekeze nguvu kwenye project za michezo ambako huko hali si nzuri hasa mashuleni huku kwa hivi vilabu mi naona ni kama wanataka sifa za kisiasa

Ahmed ally wakati yupo Azam
Was very professional guy , nilikuwa namtazamia sehemu kama BBC , but tangu aende SSC , amepotea kabisa.

Waajiri wakubwa wote wanaajiri kwa kufuatilia social records za watu , now he does not look smart anyhow; he looks dumb and stupid kama ilivyo kwa ally kamwe .

Wanajitia uchizi bila ya kujua kuwa ni vijana wana long career path . Mm kwangu Usemaji wa SSC na Yanga sioni Kama ni ajira Rasmi.

Wanatakiwa ku maintain status zao maana kuna leo na Kesho.

Pia kwenye miiko ya habari, kuna vitu vingine unaweza kupenyeza hata kwa Ac fake na sio kwa official Account yako….. manaa amesha ruin reputation yake.

Maana unahoji uhalali wa serikali, ni sawa but you can’t use your officiai page , ndio maana nasema the guy is dumb now

Very soon mtaona matokeo ya kauli yake, ndio mjue vijana huwa wanapapara na wanajifelisha wenyewe. Vijana ni impatient and mindless
 
Aisee sikuwahi kufikiria kama serikali yetu ina watu majuha wa kiwango hiki.

Aisee sikuwahi kufikiria kama serikali yetu ina watu majuha wa kiwango hiki.
Unadhani ni sawa kwa serikali kugharamia nauli kwa mashabiki wa club ambao kimsingi huwa wanatoa ada za uanachama na kuchanga michango mbalimbali kwa team Yao!?
Nadhani team husika ingeweza kuwasafirisha mashabiki wake kwenda na kurudi kama ilikuwa na uhitaji huo kama sehem ya fun engagement sio serikali
Hili tumelisoma hata kwenye civics ya form three cause of poverty ni bad allocation of government fund and resources
 
Bora angekaa kimya ili aone Serikali itachukua hatua gani dhidi ya Simba maana kimashindano wote wapo lever sawa na wote wanasafiri kwenda ugenini.
 
Ahmed ally wakati yupo Azam
Was very professional guy , nilikuwa namtazamia sehemu kama BBC , but tangu aende SSC , amepotea kabisa.

Waajiri wakubwa wote wanaajiri kwa kufuatilia social records za watu , now he does not look smart anyhow; he looks dumb and stupid kama ilivyo kwa ally kamwe .

Wanajitia uchizi bila ya kujua kuwa ni vijana wana long career path . Mm kwangu Usemaji wa SSC na Yanga sioni Kama ni ajira Rasmi.

Wanatakiwa ku maintain status zao maana kuna leo na Kesho.

Pia kwenye miiko ya habari, kuna vitu vingine unaweza kupenyeza hata kwa Ac fake na sio kwa official Account yako….. manaa amesha ruin reputation yake.

Maana unahoji uhalali wa serikali, ni sawa but you can’t use your officiai page , ndio maana nasema the guy is dumb now

Very soon mtaona matokeo ya kauli yake, ndio mjue vijana huwa wanapapara na wanajifelisha wenyewe. Vijana ni impatient and mindless
Amekosea tusimpe majina mabaya sana mkuu pengine hata na yeye alipenda kufika huko bbc ila sio rahisi namna hiyo
Simba na Yanga sio taasisi ndogo kuzifanyia kazi ki ukweli kwa hiyo tuheshimu bidii zake Kila mtu hasa si wanaume kwenye mapambano ya kutafuta riziki Kuna saa tunakosea
Wangapi wamekosea na Leo hii wako on top maisha ni fumbo huenda hii kauli yake ya hovyo ikawa sababu ya kubadili mambo huko juu
 
Sizitaki mbichi hizi
Ahaaaaa
Screenshot_20240403-163423_1.jpg
 
Ila Tanzania basi tu, hata suala la kutoa pesa kwa kila goli kwa nchi maskini kama hii ni jambo la aibu
 
Ahmed ally wakati yupo Azam
Was very professional guy , nilikuwa namtazamia sehemu kama BBC , but tangu aende SSC , amepotea kabisa.

Waajiri wakubwa wote wanaajiri kwa kufuatilia social records za watu , now he does not look smart anyhow; he looks dumb and stupid kama ilivyo kwa ally kamwe .

Wanajitia uchizi bila ya kujua kuwa ni vijana wana long career path . Mm kwangu Usemaji wa SSC na Yanga sioni Kama ni ajira Rasmi.

Wanatakiwa ku maintain status zao maana kuna leo na Kesho.

Pia kwenye miiko ya habari, kuna vitu vingine unaweza kupenyeza hata kwa Ac fake na sio kwa official Account yako….. manaa amesha ruin reputation yake.

Maana unahoji uhalali wa serikali, ni sawa but you can’t use your officiai page , ndio maana nasema the guy is dumb now

Very soon mtaona matokeo ya kauli yake, ndio mjue vijana huwa wanapapara na wanajifelisha wenyewe. Vijana ni impatient and mindless
Atasingizia amedukuliwa.
 
Hwenda serikali imeona Yanga ndiyo timu pekee inayoonesha matumaini ya kusonga mbele na kuitangaza vizuri nchi kutokana na kuonesha kandanda safi so ikaona iiongezee hamasa kwa mtindo huo kwani Simba imeitia aibu nchi kwa kufungwa nyumbani hivyo kuonesha uelekeo wa kufeli tena. Zingatia kwamba ndiyo timu pekee kati ya 8 ndiyo iliyopoteza game kwenye raundi ya kwanza robo fainali tena nyumbani.
So kwa mantiki hiyo, serikali imeona itoe sapoti kwa Yanga ili Simba iwaume.
 
View attachment 2952641
Baadhi ya Mashabiki wa Simba waliojilipia nauli zao kusafiri kwenda kuipa support timu yao Nchini Misri

Kila shabiki amejilipia Dola 1200 sawa na Milioni 3,126,000.

Hili swala la Serikali kusafirisha Mashabiki nitatoa maoni yangu nikimalizana na Al Ahly, Sasa hivi akili inawaza namna ya kufuzu Nusu Fainali, Ila msimamo wangu ni kwamba si jambo jema hata kidogo.

Kwa Mashabiki mpira ni starehe hivyo Serikali haiwezi kugharamia watu kwenda kustarehe.

Tena bora ingekua imetoa usafiri tu. Lakini wametoa Posho Dola 500 kila kichwa sawa na Milioni 1,200,000 kwa ufupi hawa Mashabiki wamenuniliwa na wanalipwa kuishangilia timu yao.

Na hao sio Mashabiki wa kawaida ni Machawa wanaotetea maslahi ya viongozi wao yaani Serikali imelipia Machawa wa watu.

Kuwalipia nauli sio kuwapenda ni kufuga tatizo ambalo baadae hatutaweza kulitatua.

Leo unalipia mashabiki wa klabu, kesho Ali Kiba ataiomba Serikali iwagharamie mashabiki wake kwenda Marekani kufanya show utamnyima?

Twaha Kiduku ataomba aende kupigana Uingereza na mashabiki wake utamnyima??

Halafu nyie Nyuma Mwiko acheni kuzuga huwezi kulipia nauli watu 48 ukajidai eti unawapenda mashabiki zenu, Wakati kwenye mechi yenu juzi Mashabiki wameumia, wamepigwa mabomu ya machozi, watu wamepata vilema, na hamjasema chochote halafu uje uzuge eti unawapenda watu wenu.

Ndugu zangu wana Simba hili swala lisiwatie unyonge na wala Serikali yetu haina nia ya kufanya ubaguzi.

Sisi tuendelee na utamaduni wetu kujisimamia tukipata msaada tutachukua lakini katu tusilemae kusubiri dezo.

We are Simba Sisi ni Wakubwa, Sisi ni Wafalme, Sisi tuna hadhi kubwa

Lets focus na mechi yetu ya Ijumaa.
kwani hao waliopigwa mabomu ni mashabiki wa yanga tu?
 
Starehe gani isiyo na maumivu kiongozi.... Hata Bangi ukivuta kupitia kiasi Ina maumivu, ukinyanduana kupita kiwango maumivu yapo tu .. ukinywa pombe kupitiliza maumivu yapo tu ..... Juzi kati tu hapa timu ya netball imekosa nauli ..na Serikali ipo...Biashara walishindwa kusafirisha timu kwenda Libya Serikali olikuwapo tu ... Mimi Yanga ila hii sio sawa.
Ikishafika hatua ya kuumiza sio starehe Tena hiyo. Watu wanashindwa tofautisha burudani (viburudisho) na starehe
 
Back
Top Bottom