Ahmed Ally: Simba imepanda viwango vya ubora CAF, sasa ni ya 7

Haya uliza swali sasa.
Nimeshauliza kwenye sentensi ya mwisho hapo.
Na nimeuliza hivyo kwasababu nafasi ya 9 wameipata baada ya kufa kiume kule kwa MWARABU.
From 9 to 7, is it a special seat?
 
Hizi rank zinatoka kila wiki mbona sielewi?
 
Yanga imetoka nafasi ya 75 hadi ya 16 kwa msimu mmoja.
 
Hizi rank zinatoka kila wiki mbona sielewi?
Caf wanatoa rank mara moja tu baada ya msimu wa interclub championship kuisha, na wanatoa rank ya performance za timu katika mashindano ya kimataifa ngazi ya vilabu kwa misimu mitano inayofuatana. Rank ulizokuwa unaziona humu kwenye nyuzi mbali mbali ni za IFFHS hazihusiani na CAF.
 
UTO ngoja waje[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
Mmebaki kudandia vitaarifaa tu makombe yanamwenyeweee🤣🤣mnatia hurumaaaa. Niko pale makombe yote tenaaa yajaa Yanga maana mnawengeeeeee.
 
🇹🇿 = 🦁= 7 but 7 is not equal to 🐸
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…