Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,336
- 4,731
Hii maana ake ni kuwa msimu ujao katika draw ya hatua ya makundi ya ligi ya mabingwa Afrika, Simba tutawekwa kwenye Port 2 ambayo inahusisha timu kuanzia nafasi ya tano mpaka ya nane
Port A itakua na Al Ahly, Mamelod Wydad na Esparance
Port 2 ndo tutakua Simba na wakubwa wenzetu watatu
Brand yetu inazidi kupaaa na Malengo yetu ni kuingia kwenye Port ya kwanza siku chache zijazo.