joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Umezihirisha umbumbumbu wako.Hapana unakuwa Muongo.
Hayo ni maneno yako.
kama hujui alichokisema Bora uwe kimya
FICHA UPUMBAVU WAKO KAKA.
Unaitaga watu nyani na mbwa hio busara umeitoa wapi leo?Nakubaliana na Mawazo yako kaka. Mimi nimejikubali kuwa mimk mimi ni chizi, kichaa, kiongozi No 1 wa wapumbavu na siwezi kupona
Lakini kwa heshima na staha na utu si vizuri kuanika picha ya mtu wa namna hiviyo na kuipost hapa jukwaani ukimfananisha na kichaa.
Nadhani unakosea sana.
Nadhani ufute ama ni report kwa moderators.
Huo ni udharilishaji,Chuki ,kutweza utu wa mtu na UKATILI WA KIMTANDAO.
USITUKANE WAKUNGA NA UZAZI UNGALIMO
ASANTE.
Mechi ya Simba na Yanga huwa ni mechi ngumu huwa haijalishi timu zote zipo kwenye hali gani. Hata mashabiki wa Simba tukicheza dhidi ya mashabiki wa Yanga unaona kabisa amsha amsha jinsi ilivyo."
"Hata kama Yanga awe vibaya kiasi gani wanaweza wakasafiri na lori kwenda mpaka Mbeya sababu ya kupitia hali ngumu lakini bado wakicheza dhidi yetu mechi huwa ni ngumu."
"Licha ya kufungwa na Ihefu ambayo imeshazoea kuwafunga Yanga, bado mechi yetu dhidi yao huwa ni mechi ngumu. Na ukiangalia mfululizo wa mechi zao kwasasa unaona kabisa itakuwa mechi ngumu."
"Lakini tutawafunga sababu sisi Simba tuna wachezaji wenye ubora kuliko wachezaji wao. Yanga wana wachezaji wenye ubora lakini ukiwalinganisha na wachezaji wa Simba, sisi ndiyo tuna wachezaji wenye ubora zaidi kuliko wote."
"Yanga wana wachezaji wenye ubora kuliko wa Azam, wa Azam wana ubora kuliko Mashujaa na sisi tuna wachezaji wenye ubora zaidi kuliko hao wote, tuna wachezaji wenye ubora wa ngazi ya Afrika. Kama wachezaji wa Simba wakiamua mechi hii tunataka kushinda basi hakuna timu inaweza kutuzuia."
- Ameongea Afisa Habari wa Simba Ahmed Ally kupitia EFM
Uzuri wa wachezaji wa yanga ni upi unao wazidi wa simba?Huwa nashangaa sana unapomsema Gentamycine kuwa ni kichaa wakati wewe ndie mwenye comment za kitahira humu ndani
This is too low for you Broda.Si kishabiki wala nini.
Simba ina wachezaji more technicalities wengi kuliko timu yoyote Tanzania.
Mfano simba wanaweza kuwa na wachezaji 8 kwa haraka haraka.
Yanga wachezaji wa 4 tu.
Ndio maana unakuta.
1.Kapombe analinganiswha na...
2. Shabalala analinganishwa na..
3. Inonga analinganishwa na........
4.chama analinganishwa na.......
5. Manula analinganishwa na......
6. Leo wapo kwa chemalone.........
7. Kesho kwa ngoma.....
Unaitaga watu nyani na mbwa hio busara umeitoa wapi leo?
Uzuri wa wachezaji wa yanga ni upi unao wazidi wa simba?
Nimekuwa nikikusoma na nikakuona huwa unaichambua Simba sio kiushabiki kutokana na vile ambavyo huwa unaona, na ninaonaga upo sahihi kabisa ila kwa hiki ulichosema leo mkuu naona kama haupo sahihi.Si kishabiki wala nini.
Simba ina wachezaji more technicalities wengi kuliko timu yoyote Tanzania.
Mfano simba wanaweza kuwa na wachezaji 8 kwa haraka haraka.
Yanga wachezaji wa 4 tu.
Ndio maana unakuta.
1.Kapombe analinganiswha na...
2. Shabalala analinganishwa na..
3. Inonga analinganishwa na........
4.chama analinganishwa na.......
5. Manula analinganishwa na......
6. Leo wapo kwa chemalone.........
7. Kesho kwa ngoma.....
Ha ha ha ha ha nimecheka saaana.Huwa nashangaa sana unapomsema Gentamycine kuwa ni kichaa wakati wewe ndie mwenye comment za kitahira humu ndani
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha haYaani bora gentamycine ana akili kidogo kuliko wewe.
Nacheka saaaana hapa.Bora popoma mara mia huyuu ni pure mbumbumbu.
Nimekuwa nikikusoma na nikakuona huwa unaichambua Simba sio kiushabiki kutokana na vile ambavyo huwa unaona, na ninaonaga upo sahihi kabisa ila kwa hiki ulichosema leo mkuu naona kama haupo sahihi.
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha haTena huyu kavishwa cheti na alarm kabisa atembee navyo kila aendapo ili watu wakae nae mbali.
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha
Mkuu kwa heshima yako embu futa hii post.
You're an updated version of Genta.Nasubiri nione mmoja akija na Hoja, point na ushawishi.
Si
Umbea.
Mipasho
Kuropoka.
Kubishana
Matusi
Chuki
Lugha za kuudhi.
Dharau nk.
You're an updated version of Genta.
Nikikuitaga mjinga unaona nakuoneaNi kweli mkuu mimi ni tahira No 1 hapa Jamii Forum.
Ila sikujua Manula ana profile ya kuishia Buza.
Na hao kapombe na shabalala ni uchocholo.
Unisamehe Ujinga wangu unanipeleka pabaya sana
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha haYou're an updated version of Genta.
Simba SC tupo juuMechi ya Simba na Yanga huwa ni mechi ngumu huwa haijalishi timu zote zipo kwenye hali gani. Hata mashabiki wa Simba tukicheza dhidi ya mashabiki wa Yanga unaona kabisa amsha amsha jinsi ilivyo."
"Hata kama Yanga awe vibaya kiasi gani wanaweza wakasafiri na lori kwenda mpaka Mbeya sababu ya kupitia hali ngumu lakini bado wakicheza dhidi yetu mechi huwa ni ngumu."
"Licha ya kufungwa na Ihefu ambayo imeshazoea kuwafunga Yanga, bado mechi yetu dhidi yao huwa ni mechi ngumu. Na ukiangalia mfululizo wa mechi zao kwasasa unaona kabisa itakuwa mechi ngumu."
"Lakini tutawafunga sababu sisi Simba tuna wachezaji wenye ubora kuliko wachezaji wao. Yanga wana wachezaji wenye ubora lakini ukiwalinganisha na wachezaji wa Simba, sisi ndiyo tuna wachezaji wenye ubora zaidi kuliko wote."
"Yanga wana wachezaji wenye ubora kuliko wa Azam, wa Azam wana ubora kuliko Mashujaa na sisi tuna wachezaji wenye ubora zaidi kuliko hao wote, tuna wachezaji wenye ubora wa ngazi ya Afrika. Kama wachezaji wa Simba wakiamua mechi hii tunataka kushinda basi hakuna timu inaweza kutuzuia."
- Ameongea Afisa Habari wa Simba Ahmed Ally kupitia EFM
Ila hii mvua inavyopiga sijui ikiendelea mpaka J2 itakuwaje.....Ila hawajitumi