Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Ni msimu upi Simba imewahi kuwa ya tano kwenye rank?Yanga ni yangapi kwenye rank za CAF kwasababu simba ni ya 7 na ilishawahi kuwa ya 5,na timu kubwa na bora zipo kwenye rank za CAF
Hiyo simba unayosepa inashiriki kombe la akina mama hukoYanga ni yangapi kwenye rank za CAF kwasababu simba ni ya 7 na ilishawahi kuwa ya 5,na timu kubwa na bora zipo kwenye rank za CAF
Acha bhange.Yanga ni yangapi kwenye rank za CAF kwasababu simba ni ya 7 na ilishawahi kuwa ya 5,na timu kubwa na bora zipo kwenye rank za CAF
Ubaya UbwegeTrap
Tuna nafasi ya kushinda, lakini tujiandae na kuomba sana Mungu....max zengeli nahisi atafunga hii gameUbaya Ubwege
Nadhani Simba wataingia kwa kucheza mpira wa kasi kwa dakika 15 za mwanzo ili wapate goli la mapema kuwavuruga wachezaji wa Yanga. Kama Yanga ikiweza kuhimili presha za dakika 30 za kwanza basi watakuwa wame uwin mchezo na mbinu za Simba.Tuna nafasi ya kushinda, lakini tujiandae na kuomba sana Mungu....max zengeli nahisi atafunga hii game
Wapi kayasema hayo ?Leta Ushahidi hapa tuone siyo hizi mpyompyo zako.“Tarehe 19 tunaenda kucheza mechi na mkubwa wetu ambae ametuzidi mwaka mmoja wa kuzaliwa na anatuzidi makombe[emoji471][emoji966] nane 8 ya ligi, hii ni mechi ambayo inabeba taswira ya soka letu la tanzania.