Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Baada ya kipigo cha 5-1 kutoka kwa Yanga, Afisa Habari wa Simba, Ahmed Ally amesema "leo tumezidiwa na mpinzani wetu na hatimaye tumeadhibiwa, hakuna unachoweza kusema zaidi kukiri udhaifu kwa upande wetu.
Hili limepita japo linaumiza na haliwezi kufutika katika mioyo yetu lakini muhimu ni kuganga yajayo."
Ametoa rai kwa klabu hiyo kutopoteza umakini akisema "tumepoteza mechi moja bado tuna mechi nyingine mbele za kupigania malengo yetu."
Hili limepita japo linaumiza na haliwezi kufutika katika mioyo yetu lakini muhimu ni kuganga yajayo."
Ametoa rai kwa klabu hiyo kutopoteza umakini akisema "tumepoteza mechi moja bado tuna mechi nyingine mbele za kupigania malengo yetu."