Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
AHMED: TUTAPAMBANA HATA TUKIFUNGWE BASI ZIWE CHACHE.
"Mechi Hii Tunarelax Vya Kutosha Na Tunawaambia Mashabiki Zetu Wasiume Meno Hakuna Presha Yoyote Sababu Tumeshafuzu Tuko Robo Finali. Ni Mechi Tunayokwenda Kukamilisha Ratiba"
"Ila Kwa Heshima Ya Klabu Kwa Heshima Ya Mpira Wa Miguu Ni Mechi Ambayo Tunatakiwa Kufanya Jambo Pamoja Kwamba Tuna Relax Lakini Hatuwezi Kwenda Kujiachiia Tukapigwa Goli Sita Tukapigwa Saba Tayari Unakuwa Umeidharirisha Klabu"
"Na Ukifungwa Itabaki Historia Pale Ulifungwa Saba ...Hawatoangalia Ililuwa Mechi Ya Kujifurahisha au Mechi Ya Kujichekesha ..Wataangalia Mnyama Alipasuka Saba Dhidi Ya Raja"
AHMED ALLY,Meneja wa Kitengo cha Habari cha Klabu ya Simba SC [emoji1241].
FutbalPlanetUpdates
"Mechi Hii Tunarelax Vya Kutosha Na Tunawaambia Mashabiki Zetu Wasiume Meno Hakuna Presha Yoyote Sababu Tumeshafuzu Tuko Robo Finali. Ni Mechi Tunayokwenda Kukamilisha Ratiba"
"Ila Kwa Heshima Ya Klabu Kwa Heshima Ya Mpira Wa Miguu Ni Mechi Ambayo Tunatakiwa Kufanya Jambo Pamoja Kwamba Tuna Relax Lakini Hatuwezi Kwenda Kujiachiia Tukapigwa Goli Sita Tukapigwa Saba Tayari Unakuwa Umeidharirisha Klabu"
"Na Ukifungwa Itabaki Historia Pale Ulifungwa Saba ...Hawatoangalia Ililuwa Mechi Ya Kujifurahisha au Mechi Ya Kujichekesha ..Wataangalia Mnyama Alipasuka Saba Dhidi Ya Raja"
AHMED ALLY,Meneja wa Kitengo cha Habari cha Klabu ya Simba SC [emoji1241].
FutbalPlanetUpdates