Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiogope mechi mtoto wa kiume, yaani tangu wiki iliyopita unaanzisha tu nyuzi za Simba, hivi unadhani Simba wana uoga wa mechi? Sasa ukiweka lengo la kuchukua kombe, unadhani utachukua mbele ya timu dhaifu dhaifu kama za Congo DRC? Simba anashiriki Champions League, huko ndiko kuna wababe wa Afrika, kwa hiyo ni jambo la kawaida kabisa kukutana na vigogoHizo Saba mnaenda kulipia
AahaaaaahAHMED: TUTAPAMBANA HATA TUKIFUNGWE BASI ZIWE CHACHE.
"Mechi Hii Tunarelax Vya Kutosha Na Tunawaambia Mashabiki Zetu Wasiume Meno Hakuna Presha Yoyote Sababu Tumeshafuzu Tuko Robo Finali. Ni Mechi Tunayokwenda Kukamilisha Ratiba"
"Ila Kwa Heshima Ya Klabu Kwa Heshima Ya Mpira Wa Miguu Ni Mechi Ambayo Tunatakiwa Kufanya Jambo Pamoja Kwamba Tuna Relax Lakini Hatuwezi Kwenda Kujiachiia Tukapigwa Goli Sita Tukapigwa Saba Tayari Unakuwa Umeidharirisha Klabu"
"Na Ukifungwa Itabaki Historia Pale Ulifungwa Saba ...Hawatoangalia Ililuwa Mechi Ya Kujifurahisha au Mechi Ya Kujichekesha ..Wataangalia Mnyama Alipasuka Saba Dhidi Ya Raja"
AHMED ALLY,Meneja wa Kitengo cha Habari cha Klabu ya Simba SC [emoji1241].
FutbalPlanetUpdates
View attachment 2571995
Sema kweliAwap ww
AHMED: TUTAPAMBANA HATA TUKIFUNGWE BASI ZIWE CHACHE.
"Mechi Hii Tunarelax Vya Kutosha Na Tunawaambia Mashabiki Zetu Wasiume Meno Hakuna Presha Yoyote Sababu Tumeshafuzu Tuko Robo Finali. Ni Mechi Tunayokwenda Kukamilisha Ratiba"
"Ila Kwa Heshima Ya Klabu Kwa Heshima Ya Mpira Wa Miguu Ni Mechi Ambayo Tunatakiwa Kufanya Jambo Pamoja Kwamba Tuna Relax Lakini Hatuwezi Kwenda Kujiachiia Tukapigwa Goli Sita Tukapigwa Saba Tayari Unakuwa Umeidharirisha Klabu"
"Na Ukifungwa Itabaki Historia Pale Ulifungwa Saba ...Hawatoangalia Ililuwa Mechi Ya Kujifurahisha au Mechi Ya Kujichekesha ..Wataangalia Mnyama Alipasuka Saba Dhidi Ya Raja"
AHMED ALLY,Meneja wa Kitengo cha Habari cha Klabu ya Simba SC [emoji1241].
FutbalPlanetUpdates
View attachment 2571995
Jinga sana, yaani unaenda na mentality ya usinfungwe 7?! StupidAHMED: TUTAPAMBANA HATA TUKIFUNGWE BASI ZIWE CHACHE.
"Mechi Hii Tunarelax Vya Kutosha Na Tunawaambia Mashabiki Zetu Wasiume Meno Hakuna Presha Yoyote Sababu Tumeshafuzu Tuko Robo Finali. Ni Mechi Tunayokwenda Kukamilisha Ratiba"
"Ila Kwa Heshima Ya Klabu Kwa Heshima Ya Mpira Wa Miguu Ni Mechi Ambayo Tunatakiwa Kufanya Jambo Pamoja Kwamba Tuna Relax Lakini Hatuwezi Kwenda Kujiachiia Tukapigwa Goli Sita Tukapigwa Saba Tayari Unakuwa Umeidharirisha Klabu"
"Na Ukifungwa Itabaki Historia Pale Ulifungwa Saba ...Hawatoangalia Ililuwa Mechi Ya Kujifurahisha au Mechi Ya Kujichekesha ..Wataangalia Mnyama Alipasuka Saba Dhidi Ya Raja"
AHMED ALLY,Meneja wa Kitengo cha Habari cha Klabu ya Simba SC [emoji1241].
FutbalPlanetUpdates
View attachment 2571995
Ukisikisa akili matope ndiyo hii, mtu kakupasua tatu nyumbani kwako halafu akiwa kwake alindeHiyo ilikuwapo katika hesabu, ndio maana tukasema tumalizane kabisa na Horoya hapa Dar. Hata Raja hawatafunguka sana baada ya kuona goli 7-0 za Horoya, watalinda kiasi
Msemaji wenu anaonekana kuogopa mkuuUsiogope mechi mtoto wa kiume, yaani tangu wiki iliyopita unaanzisha tu nyuzi za Simba, hivi unadhani Simba wana uoga wa mechi? Sasa ukiweka lengo la kuchukua kombe, unadhani utachukua mbele ya timu dhaifu dhaifu kama za Congo DRC? Simba anashiriki Champions League, huko ndiko kuna wababe wa Afrika, kwa hiyo ni jambo la kawaida kabisa kukutana na vigogo
Tushapita mkuuKweli wenye akili ni wawili! yani hawajui mda wa mechi kuwa tofauti ni rahisi kupanga matokeo na Monastir kuongoza kundi ila wao hawana habari wapo bize na mechi ya mnyama[emoji119][emoji119]View attachment 2572351
Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Ukiona choo usikojoe huo ni mtego. Nakupa tahadhari maana naona uko ndotoniMtapigwa kumi
Mashabiki wa Yanga wanakosa usingizi wao leo wakiangalia watu wanaojua mpira wakicheza mechi ya kirafiki.
Famasihara nini.
Hii kukubali kuwa utafungwa japo goli chache ni akili mbovu sana.AHMED: TUTAPAMBANA HATA TUKIFUNGWE BASI ZIWE CHACHE.
"Mechi Hii Tunarelax Vya Kutosha Na Tunawaambia Mashabiki Zetu Wasiume Meno Hakuna Presha Yoyote Sababu Tumeshafuzu Tuko Robo Finali. Ni Mechi Tunayokwenda Kukamilisha Ratiba"
"Ila Kwa Heshima Ya Klabu Kwa Heshima Ya Mpira Wa Miguu Ni Mechi Ambayo Tunatakiwa Kufanya Jambo Pamoja Kwamba Tuna Relax Lakini Hatuwezi Kwenda Kujiachiia Tukapigwa Goli Sita Tukapigwa Saba Tayari Unakuwa Umeidharirisha Klabu"
"Na Ukifungwa Itabaki Historia Pale Ulifungwa Saba ...Hawatoangalia Ililuwa Mechi Ya Kujifurahisha au Mechi Ya Kujichekesha ..Wataangalia Mnyama Alipasuka Saba Dhidi Ya Raja"
AHMED ALLY,Meneja wa Kitengo cha Habari cha Klabu ya Simba SC [emoji1241].
FutbalPlanetUpdates
View attachment 2571995