Ahmed Ally: Tutapambana hata tukifungwa basi ziwe chache

Ahmed Ally: Tutapambana hata tukifungwa basi ziwe chache

Hizo Saba mnaenda kulipia
Usiogope mechi mtoto wa kiume, yaani tangu wiki iliyopita unaanzisha tu nyuzi za Simba, hivi unadhani Simba wana uoga wa mechi? Sasa ukiweka lengo la kuchukua kombe, unadhani utachukua mbele ya timu dhaifu dhaifu kama za Congo DRC? Simba anashiriki Champions League, huko ndiko kuna wababe wa Afrika, kwa hiyo ni jambo la kawaida kabisa kukutana na vigogo
 
AHMED: TUTAPAMBANA HATA TUKIFUNGWE BASI ZIWE CHACHE.

"Mechi Hii Tunarelax Vya Kutosha Na Tunawaambia Mashabiki Zetu Wasiume Meno Hakuna Presha Yoyote Sababu Tumeshafuzu Tuko Robo Finali. Ni Mechi Tunayokwenda Kukamilisha Ratiba"

"Ila Kwa Heshima Ya Klabu Kwa Heshima Ya Mpira Wa Miguu Ni Mechi Ambayo Tunatakiwa Kufanya Jambo Pamoja Kwamba Tuna Relax Lakini Hatuwezi Kwenda Kujiachiia Tukapigwa Goli Sita Tukapigwa Saba Tayari Unakuwa Umeidharirisha Klabu"

"Na Ukifungwa Itabaki Historia Pale Ulifungwa Saba ...Hawatoangalia Ililuwa Mechi Ya Kujifurahisha au Mechi Ya Kujichekesha ..Wataangalia Mnyama Alipasuka Saba Dhidi Ya Raja"

AHMED ALLY,Meneja wa Kitengo cha Habari cha Klabu ya Simba SC [emoji1241].

FutbalPlanetUpdates

View attachment 2571995
Aahaaaaah
 
Kweli wenye akili ni wawili! yani hawajui mda wa mechi kuwa tofauti ni rahisi kupanga matokeo na Monastir kuongoza kundi ila wao hawana habari wapo bize na mechi ya mnyama[emoji119][emoji119]
Screenshot_20230331-195351_LiveScore.jpg


Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
 
AHMED: TUTAPAMBANA HATA TUKIFUNGWE BASI ZIWE CHACHE.

"Mechi Hii Tunarelax Vya Kutosha Na Tunawaambia Mashabiki Zetu Wasiume Meno Hakuna Presha Yoyote Sababu Tumeshafuzu Tuko Robo Finali. Ni Mechi Tunayokwenda Kukamilisha Ratiba"

"Ila Kwa Heshima Ya Klabu Kwa Heshima Ya Mpira Wa Miguu Ni Mechi Ambayo Tunatakiwa Kufanya Jambo Pamoja Kwamba Tuna Relax Lakini Hatuwezi Kwenda Kujiachiia Tukapigwa Goli Sita Tukapigwa Saba Tayari Unakuwa Umeidharirisha Klabu"

"Na Ukifungwa Itabaki Historia Pale Ulifungwa Saba ...Hawatoangalia Ililuwa Mechi Ya Kujifurahisha au Mechi Ya Kujichekesha ..Wataangalia Mnyama Alipasuka Saba Dhidi Ya Raja"

AHMED ALLY,Meneja wa Kitengo cha Habari cha Klabu ya Simba SC [emoji1241].

FutbalPlanetUpdates

View attachment 2571995
5CC8A3E6-F6EA-4A35-B607-895445E2F984.jpeg
 
AHMED: TUTAPAMBANA HATA TUKIFUNGWE BASI ZIWE CHACHE.

"Mechi Hii Tunarelax Vya Kutosha Na Tunawaambia Mashabiki Zetu Wasiume Meno Hakuna Presha Yoyote Sababu Tumeshafuzu Tuko Robo Finali. Ni Mechi Tunayokwenda Kukamilisha Ratiba"

"Ila Kwa Heshima Ya Klabu Kwa Heshima Ya Mpira Wa Miguu Ni Mechi Ambayo Tunatakiwa Kufanya Jambo Pamoja Kwamba Tuna Relax Lakini Hatuwezi Kwenda Kujiachiia Tukapigwa Goli Sita Tukapigwa Saba Tayari Unakuwa Umeidharirisha Klabu"

"Na Ukifungwa Itabaki Historia Pale Ulifungwa Saba ...Hawatoangalia Ililuwa Mechi Ya Kujifurahisha au Mechi Ya Kujichekesha ..Wataangalia Mnyama Alipasuka Saba Dhidi Ya Raja"

AHMED ALLY,Meneja wa Kitengo cha Habari cha Klabu ya Simba SC [emoji1241].

FutbalPlanetUpdates

View attachment 2571995
Jinga sana, yaani unaenda na mentality ya usinfungwe 7?! Stupid
 
Hiyo ilikuwapo katika hesabu, ndio maana tukasema tumalizane kabisa na Horoya hapa Dar. Hata Raja hawatafunguka sana baada ya kuona goli 7-0 za Horoya, watalinda kiasi
Ukisikisa akili matope ndiyo hii, mtu kakupasua tatu nyumbani kwako halafu akiwa kwake alinde
 
Mashabiki wa Yanga wanakosa usingizi wao leo wakiangalia watu wanaojua mpira wakicheza mechi ya kirafiki.

Famasihara nini.
 
Usiogope mechi mtoto wa kiume, yaani tangu wiki iliyopita unaanzisha tu nyuzi za Simba, hivi unadhani Simba wana uoga wa mechi? Sasa ukiweka lengo la kuchukua kombe, unadhani utachukua mbele ya timu dhaifu dhaifu kama za Congo DRC? Simba anashiriki Champions League, huko ndiko kuna wababe wa Afrika, kwa hiyo ni jambo la kawaida kabisa kukutana na vigogo
Msemaji wenu anaonekana kuogopa mkuu
 
Hii mechi Simba tayari kabisa ameshakata tamaa na anafahamu anaenda kufungwa ila idadi ya magoli ndio hajui.

It's very pathetic indeed.
 
AHMED: TUTAPAMBANA HATA TUKIFUNGWE BASI ZIWE CHACHE.

"Mechi Hii Tunarelax Vya Kutosha Na Tunawaambia Mashabiki Zetu Wasiume Meno Hakuna Presha Yoyote Sababu Tumeshafuzu Tuko Robo Finali. Ni Mechi Tunayokwenda Kukamilisha Ratiba"

"Ila Kwa Heshima Ya Klabu Kwa Heshima Ya Mpira Wa Miguu Ni Mechi Ambayo Tunatakiwa Kufanya Jambo Pamoja Kwamba Tuna Relax Lakini Hatuwezi Kwenda Kujiachiia Tukapigwa Goli Sita Tukapigwa Saba Tayari Unakuwa Umeidharirisha Klabu"

"Na Ukifungwa Itabaki Historia Pale Ulifungwa Saba ...Hawatoangalia Ililuwa Mechi Ya Kujifurahisha au Mechi Ya Kujichekesha ..Wataangalia Mnyama Alipasuka Saba Dhidi Ya Raja"

AHMED ALLY,Meneja wa Kitengo cha Habari cha Klabu ya Simba SC [emoji1241].

FutbalPlanetUpdates

View attachment 2571995
Hii kukubali kuwa utafungwa japo goli chache ni akili mbovu sana.

Hawa Raja ni wazuri lakini sio kwa kiwango wanachosifiwa.Simba wana uwezo wa kutoa sare ama hata kushinda.Lakini haitakuwa hivyo kutokana na kauli kama hizi kwani naamini ndivyo wachezaji wanavyofikiri.
Wachezaji hawajiamini kila wanapochukua mpira

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom